TUKIO ZIMA LA KULIPUKA KWA BOMU KANISANI ARUSHA jana!!!

 Hali ya eneo mlipuko ulipotokea
Hali ya eneo mlipuko ulipotokea Waumini na wananchi wengine wakiwa na shauku ya kujua kilichotokea
Waumini na wananchi wengine wakiwa na shauku ya kujua kilichotokea Ulinzi umeimarishwa
Ulinzi umeimarishwa Viongozi
 wa Kanisa wakitoa taarifa ya kilichotokea kwa waandishi wa habari kabla
 ya Balozi wa Papa kuondolewa Kanisani hapo chini ya ulinzi mkali wa 
Polisi.
Viongozi
 wa Kanisa wakitoa taarifa ya kilichotokea kwa waandishi wa habari kabla
 ya Balozi wa Papa kuondolewa Kanisani hapo chini ya ulinzi mkali wa 
Polisi. Wanasualama Mkoa wa Arusha, wakijadiliana jambo katika eneo la tukio
Wanasualama Mkoa wa Arusha, wakijadiliana jambo katika eneo la tukio Meya
 wa Manispaa ya Arusha, Mh gaundence Lyimo akielekea eneo la tukio kwa 
miguu baada ya utaratibu wa kutumia magari kuwa mgumu kutokana na idadi 
kubwa ya watu na magari yaliyoziba njia.
Meya
 wa Manispaa ya Arusha, Mh gaundence Lyimo akielekea eneo la tukio kwa 
miguu baada ya utaratibu wa kutumia magari kuwa mgumu kutokana na idadi 
kubwa ya watu na magari yaliyoziba njia. Magesa Mulongo akiteta na RCO wa Mkoa wa Arusha
Magesa Mulongo akiteta na RCO wa Mkoa wa Arusha Mkuu
 wa Mkoa wa Arusha, magesa Mulongo akijiandaa kuzungumza na wananchi 
kanisani hapo na kuahidi kuwa Serikali itahakikisha watu wote 
waliohusika na jaribio hilo ovu, pamoja na mtandao wao wanakamatwa. 
Alidai pia vikosi vya Jeshi maalumu kwa kuchunguza milipuko vitafika 
eneo hilo ili kufanya uchunguzi. Taarifa za eneo la tukio zinaeleza kuwa
 tayari kuna mshukiwa mmoja ameshatiwa mbaroni na yuko mikononi mwa 
Jeshi la Polisi kwa mahojiano na uchunguzi zaidi.
Mkuu
 wa Mkoa wa Arusha, magesa Mulongo akijiandaa kuzungumza na wananchi 
kanisani hapo na kuahidi kuwa Serikali itahakikisha watu wote 
waliohusika na jaribio hilo ovu, pamoja na mtandao wao wanakamatwa. 
Alidai pia vikosi vya Jeshi maalumu kwa kuchunguza milipuko vitafika 
eneo hilo ili kufanya uchunguzi. Taarifa za eneo la tukio zinaeleza kuwa
 tayari kuna mshukiwa mmoja ameshatiwa mbaroni na yuko mikononi mwa 
Jeshi la Polisi kwa mahojiano na uchunguzi zaidi. Eneo
 lenye utepe ndipo kitu hicho kinachodhaniwa kuwa bomu kilipoangukia. 
Pichani unaweza kuona wigi za kichwani na viatu vya waumini vikiwa 
vimesambaa baada ya wenyewe kuviacha, miongoni mwao wakiwa ni majeruhi.
Eneo
 lenye utepe ndipo kitu hicho kinachodhaniwa kuwa bomu kilipoangukia. 
Pichani unaweza kuona wigi za kichwani na viatu vya waumini vikiwa 
vimesambaa baada ya wenyewe kuviacha, miongoni mwao wakiwa ni majeruhi.
 Mkuu
 wa Mkoa wa Arusha, Magesa Mulongo akizungumza na mmoja wa mapadri wa 
Kanisa hilo kupewa maelezo ya kuhusu kilichotokea kanisani hapo.
Mkuu
 wa Mkoa wa Arusha, Magesa Mulongo akizungumza na mmoja wa mapadri wa 
Kanisa hilo kupewa maelezo ya kuhusu kilichotokea kanisani hapo.






 
 
 


 
