Tuesday 31 May 2016

WILAYA YA MPWAPWA KUFANYA HARAMBEE YA KUPATA MADAWATI JIJINI DAR ES SALAAM JUNI 4, 2016
 Mkuu wa Wilaya  ya Mpwawa iliyopo mkoani Dodoma, Mohamed Utaly (wa pili kushoto), akizungumza katika mkutano na waandishi wa habari Dar es Salaam leo asubuhi, kuhusu harambee ya kupata fedha za kununulia madawati itakayofanyika Juni 4 mwaka huu Ukumbi wa Karimjee jijini Dar es Salaam. Kutoka kushoto ni Mwenyekiti wa Halmashauri hiyo, Donald Ngwenzi,Mkurugenzi wa Halmashauri hiyo, Mohamed Maje na Mkuu wa Kitengo cha Manunuzi, Samuel Albertus Coy.
 Mkurugenzi wa Halmashauri hiyo, Mohamed Maje (kulia), akisisitiza jambo kwenye mkutano huo.
Mwenyekiti wa Halmashauri hiyo, Donald Ngwenzi, akizungumza kwenye mkutano huo. Kulia ni Mkuu wa Wilaya ya Mpwapwa, Mohamed Utaly.

Na Dotto Mwaibale


HALMASHAURI ya Wilaya ya Mpwapwa Dodoma Juni 4 mwaka huu inatarajia kufanya harambe ya kupata fedha za kununulia madawati kwa ajili ya shule za msingi na sekondari wilayani humo ambayo itafanyika Ukumbi wa Karimjee jijini Dar es Salaam.

Akizungumza na waandishi wa habari Dar es Salaam leo asubuhi Mkuu wa Wilaya hiyo Mohamed Utaly alisema wamefikia hatua hiyo ili kukabiliana na uhaba wa madawati katika shule hizo ambapo pamekuwa na changamoto kubwa.

Alisema awali halmashauri hiyo ilikuwa na upungufu wa madawati 16,000 lakini baada ya kuwashirikisha wananchi na kufanya harambee mbalimbali walifanikiwa kupata madawati 6000 na kubaki kiasi cha madawati 10,000 ambayo yanahitaji.

Utaly alisema halmshauri hiyo katika bajeti yake ya mwaka 2015-2016 ilitenga sh. milioni 180 kwa ajili ya madawati ambapo kunamafanikio makubwa ya kupata madawati hayo yaliyosalia hivyo akatumia fursa hiyo kuwaomba wadau mbalimbali wa ndani wa wilaya hiyo na nje kujitokeza katika harambee hiyo ili waweze kufanikisha jambo hilo.

Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri hiyo Mohamed Maje alisema changamoto kubwa waliyoibaini ni kutokuwa na kitengo cha kufanya ukarabati wa madawati yaliyo haribika ambacho hivi sasa kimeanzishwa.


"Kwa muda mrefu hatukuwa na kitengo cha kukarabati madawati yaliyoharibika lakini sasa tumekianzisha na kitasaidia kupunguza changamoto hiyo kwa kitengo hicho kitakuwa kikisaidia na wajasiriamali waliopo kwenye vikundi vya watu 20 ambavyo vipo sita kwa ajili ya kufanya kazi hiyo" alisema Maje.

Gorilla shot at Cincinnati Zoo: Statements released

May 30, 2016
A three year old boy fell into a gorilla's habitat at the Cincinnati Zoo in Ohio and zoo officials reacted in killing a gorilla who did not try to harm or attack the boy in anyway.
Animal rights activists continued to protest Monday over the death of the gorilla at the Cincinnati Zoo who was fatally shot so authorities could rescue the child.
The family of the 3-year-old released a statement Sunday night acknowledging the zoo's loss and thanking its staff for their "quick action." The boy was home safe and "doing just fine," the statement said.
The animal rights group PETA criticized the Cincinnati Zoo for not having a second protective barrier around the gorilla habitat, and argued that wild animals shouldn't be housed at zoos in the first place.
The incident triggered a statement by Canada's Accredited Zoos and Aquariums. The statement by Massimo Bergamin reads:
"We're saddened by this weekend's events at the Cincinnati Zoo. Our thoughts are with the Zoo staff and community. We know that today they are dealing with a terrible loss, but they should take solace knowing that they did absolutely the right thing in the circumstances. Their professionalism likely saved the life of a young child.
While these kinds of incidents generate a lot of attention thankfully they are, when measured against the number of visitors in accredited zoos in Canada and the US, very rare and isolated occurrences.
For Canada's accredited zoo and aquarium community they are a reminder of how quickly accidents can happen and of the importance of sound, tested safety protocols and emergency procedures.
As part of our accreditation inspection process, CAZA member institutions have to demonstrate that they have in place proper and formal risk management and safety protocols.
In addition to having policies and procedures in place, this involves holding regular emergency simulation exercises to ensure that in the event of an incident, trained Emergency Response Personnel are mobilized, know exactly what to do, and have the necessary equipment on hand as well as the authority to act.
And while these incidents are rare, we take them very seriously. Much like the global airline sector, we look to incidents as teachable moments that help us ensure that our systems and procedures improve continuously.
CAZA-accredited zoos and aquariums are required to conduct an incident analysis in the event of major occurrences involving injuries to staff or visitors as well as animal fatalities, and to report back to the National Office.
CAZA reviews the incident report, examines whether the incident was the result of systemic problems and follows up with the institution as necessary. Any findings of a systemic and general nature may be addressed through revisions to the accreditation standards."
A Memorial statue was put up outside the Cincinnati Zoo after Gorilla Harambe was shot and killed there Saturday.
Gorilla shot at Cincinnati Zoo: Statements released

Kageye Village: Tanzania’s Unsung Tourism Nugget

RAYMOND ISHENGOMA  MAY 30, 2016
For residents and visitors of Mwanza City, in northeast Tanzania, there may not be a place in the city and its neighborhoods which could outmatch Kageye historical village as a tourist destination, an ideal spot for family or group picnics, and a site for educational tours.
After a 15 minutes drive from Mwanza Airport along Igombe and Kayenze road, one reaches Kageye village, situated on a tranquil and scenic beach on Lake Victoria.
On arrival at the village, a visitor will recognize that the main activity in the area is fishing, as many colorful fishing boats are anchored along the beach and sardines are dried on the sand.
However, the main landmark at Kageye is a site which has got a historical story to tell. This is what makes the lakeshore village a must destination for somebody interested in the history of the Arab slave trade and the introduction of Islam and Christian religions in north-west Tanzania in the 1870s.
At that time Kageye was part of the smallest Sukuma tribal chieftaincy. Now it is one of the oldest historical sites in Tanzania. Kageye hosts a monument in memory of innocent Africans who died during the dehumanizing slave trade. It was at Kageye where the slaves captured in Uganda and northwest Tanzania were enchained by the Arabs before embarking on a gruesome journey to slavery bondage through Bagamoyo and Zanzibar.
It is also at Kageye where several white explorers and missionaries who succumbed to death due to the harsh tropical diseases are buried.
The names of the fallen explorers and missionaries are engraved on their tombstones. Slaves, helpers to the explorers, tribal chiefs and members of the chief’s court were also buried at Kageye.
Other attractions are the ruins of the chief’s palace, grain grinding stones and a replica of a tent where the British explorer, Henry Morton Stanley, stayed during his quest for the source of River Nile.
Kageye was developed as an historic site by a Catholic priest, David Clement, whom later handed it over to the government of Tanzania. Unfortunately, it seems that now this rare tourism nugget needs urgent rehabilitation and promotion.
Kageye Village: Tanzania’s Unsung Tourism Nugget
A monumental cross at Kageye in memory of the early missionaries who passed through the historical

Monday 30 May 2016

JK AWAFUNDA VIJANA WA CCM VYUO VIKUU JIJINI DAR ES SALAAM LEO JIONI
 Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Jakaya Kikwete akihutubia katika mahafali ya 2016 ya Shirikisho la wanafunzi wa vyuo vikuu wa CCM yaliyofanyika viwanja vya Karimjee Dar es Salaam leo jioni.
 Vijana vyuo vikuu Dar es Salaam wakiserebuka katika mahafali yao.
 Vijana hao wakiendelea kuserebuka.
 Hapa ni furaha kwa kwenda mbele.
Ni kama wanasema'  Hapa ni ushindi tu 2020 kwani vijana tumejipanga.
Vijana wakiwa kwenye mahafali hayo.

Vijana nchini Tanzania wameshauriwa kuwa tayari kufanya kazi kwa kujitolea ili kujiongezea ujuzi, uwezo, maarifa na kuleta mabadiliko katika jamii zao,hayo yalielezwa na Meneja wa Maendeleo ya Vijana wa shirika la Raleigh Tanzania, Genos Martin wakati wa mahojiano maalum na mwandishi wa habari hii.

Martin alisema kuwa ni vyema kwa vijana kujiunga na mashirika ya kitaifa na ya kimataifa ya kujitolea kwani kwa kufanya hivyo kutawapa vijana fursa ya kuongeza ujuzi na maarifa ambao utawasaidia katika sehemu mbalimbali.
Martin alisema, "Kufanya kazi kwa kujitolea ni kitu kigeni nchini kwetu tofauti na Mataifa ya nchi zilizoendelea, watu waliowahi jitolea wanapewa kipaumbele kwenye maombi ya kazi tofauti na nchini kwetu. Hii inafanya kujitolea kuwa jambo la muhimu sana kwenye mataifa ya wenzetu" 

"Vijana wengi wanalalamika kuwa nafasi nyingi za kazi zinawataka wawe na uzoefu wa miaka mitatu nakuendelea, hawajui ni vipi wanaweza kupata uzoefu lakini kama wakijiunga na haya mashirika ya kujitolea wanaweza pata huo uzoefu na kuwafanya wawe na nafasi nzuri pindi waombapo ajira" aliongezea Martin.

Aidha, Afisa Mawasiliano wa Raleigh Tanzania, Kennedy Mmari alieleza kuwa ni kawaida ya shirika hilo kutafuta vijana kutoka sehemu mbalimbali nchini ambao huungana na vijana wenzao kutoka mataifa ya mbali mbali ya Ulaya na Amerika.

Mmari aliongezea, "Raleigh tuna programu kwa vijana zinazohusu ujasiriamali, usafi, maji na utunzaji wa mazingira, kijana yeyote anaweza kujjiunga nasi na kufanya program zetu. Hatutoi malipo yoyote wala hawatulipi chochote isipokuwa tunagharamia mahitaji yao yote ya msingi pindi wakiwa kwenye programu"
Wanafunzi wa shule ya Msingi Chibe iliyopo kata ya Old Shinyanga mkoani Shinyanga wakishuhudia ufunguzi wa kituo cha elimu ya awali kilichojengwa na na vijana wa kujitolea kwa msaada wa shirika la Raleigh Tanzania.
Kwa upande wa vijana waliofanya programu na shirika hilo  wameshukuru kwa nafasi waliyopewa kwani imewasaidia kupata ujuzi na ufahamu wa mambo tofauti ikiwemo jinsi ya kuandaa na kusiammia biashara.

Mmoja wa vijana ambao wamepata fursa hiyo, Sia Malamsha,  alisema kuwa anajiona wa tofauti baada ya kumaliza programu, hakuwahi fikiria kama kuna watu Tanznaia hawana huduma za maji safi na salama lakini kupitia programu za Raleigh nimeweza fika kwenye jamii hizo na kuwasaidia kutatua matatizo hayo.
"Nimekuwa sehemu ya mabadiliko makubwa katika nchi yangu, najivunia kuona nimefanya kitu kuikomboa jamii ya Watanzania" aliongezea Bi. Malamsha.

Vijana wa Shirika la kujitolea la Raleigh wakishiriki ujenzi wa choo katika moja ya miradi yao
Naye kijana Ashiru Said aliyefanya programu ya ujasiriamali amesema kua programu za Raleigh zimemsaidia kupata elimu ya kusimamia na kuendesha biashara.
"Nimeweza kupata elimu ya ujasiriamali, baada ya kurudi nyumbani jamii imefaidika na elimu niliyoipata kwani nimeweza waelimisha vijana wenzangu jinsi ya kuanzisha na kusimamia biashara zao wenyewe" alimalizia Said.

Raleigh Tanzania ni shirika lisilo la kiserikali lenye ofisi zake mkoani Morogoro na kufanya programu za kujitolea kwa lengo  la kuisaidia jamii ya Tanzania sehemu mbalimbali.