Wednesday 26 August 2015

MSAADA TUTANI, HABARI YA AFYA



https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEj-Rrj1RWMpZHMvEn3HBb2cBUd8bHRVvJ_h2xdG4GibCsAfDTNvLskE7tb4cAlAy7W1yRQbitUi9jjkETEMl7ksg2Vn7useC4JX9Zyzo3frY1L0fnbEJUbvjbGK1SsUMJI1yD3dS4ls3hst/s1600/F+1.jpg" imageanchor="1" style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;">https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEj-Rrj1RWMpZHMvEn3HBb2cBUd8bHRVvJ_h2xdG4GibCsAfDTNvLskE7tb4cAlAy7W1yRQbitUi9jjkETEMl7ksg2Vn7useC4JX9Zyzo3frY1L0fnbEJUbvjbGK1SsUMJI1yD3dS4ls3hst/s640/F+1.jpg
" width="640" />




https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEhxGcgAZ0HBplqdar9_hyL1RZ5fUyflB1XRC-FOmH8rszu57bOP35eIt22hE5l30r1EHosSIfF4k-IO_JxSVFGCd0pG5QJV_SVbrN4MprBzk7saM7wJwMDS815HP1ATzqSyT5uP8jpS-e0U/s1600/F+2.jpg" imageanchor="1" style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;">https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEhxGcgAZ0HBplqdar9_hyL1RZ5fUyflB1XRC-FOmH8rszu57bOP35eIt22hE5l30r1EHosSIfF4k-IO_JxSVFGCd0pG5QJV_SVbrN4MprBzk7saM7wJwMDS815HP1ATzqSyT5uP8jpS-e0U/s1600/F+2.jpg" />




Na Mwandishi Wetu ,

Kutokea
 kwa ugonjwa wa moyo wa kuzaliwa (CHD) kunatazamwa kwa usawa kwa duniani
 kote, pamoja na kutofautiana kati ya mikoa na nchi kutokana na 
maumbile, mazingira na mabadiliko ya kiepijenetiki. Takriban watoto 8 
kati 1000 wanaozaliwa wakiwa hai wanazaliwa na CHD duniani kote. Takwimu
 hii kwa ujumla inaaminika zaidi. Hata hivyo, kutokana na ukosefu wa 
takwimu sahihi katika bara la Afrika, watoto walioathirika na CHD barani
 Afrika inaweza kuwa wengi sana.


Watoto
 wenye ugonjwa wa moyo wanaweza kuonesha dalili wakati wa kuzaliwa. 
baadhi ya dalili hizi ni pamoja mtoto kubadilika rangi na kuwa wa bluu, 
mtoto kupumua kwa kasi, jasho nyingi, kuvurugika kwa mapigo ya moyo, 
kushindwa kula ambapo husababisha kushindwa kuongezeka uzito na mtoto 
kupata maambukizi katika mfumo wa upumuaji mara kwa mara. Wakati 
mwingine, hii inaweza kugundulika kwa kuhakikisha unamuona daktari wa 
watoto wachanga mara kwa mara. Tatizo lolote katika moyo linaweza 
kubadilisha namna moyo unavyosikika. Sauti hizi zisizo za kawaida 
zinaweza kugunduliwa na daktari kwa kusikiliza kutumia kifaa maalumu cha
 ‘stethoskopu’. Kuna baadhi ya matukio ambapo vichanga na watoto wadogo 
wanakuwa wakizimia, kuonyesha kwamba wako katika hali ya kushindwa kwa 
mizunguko upumuaji.





Watoto,
 hasa walio chini ya umri wa siku 28 na vichanga ambao wako chini ya 
umri wa mwaka mmoja hawachukuliwi kama vijana, hivyo kuwafanyia upasuaji
 moyo kwao ni changamoto. Inapaswa kuzingatiwa kuwa moyo wa mtoto 
anapozaliwa unakuwa na ukubwa wa ngumi yake. Kutokana na muundo wake 
unaochanganya, watoto wachanga hukabiliwa na kiwango kidogo cha ufanyaji
 kazi wa moyo na hivyo kupata uharibifu kwa viungo vingine muhimu ikiwa 
ni pamoja na mapafu, figo na ini. Hivyo, kwa asili upasuaji wa moyo ni 
mgumu zaidi.


Kutokana
 na ugumu wa upasuaji kwa mtoto, Dkt. Neville A.G Solomon Mshauri, 
Upasuaji wa Moyo kwa Watoto & Watu Wazima na Mkuu wa Idara ya 
Upasuaji Moyo kwa Watoto wa Hospitali ya Watoto Apollo, Chennai anaona 
kwamba mbinu zinazojumuisha mambo mbalimbali zitumike ili kuwa na 
mafanikio. Ili kufanya kwa usahihi upasuaji na marekebisho bila kuharibu
 miundo yoyote muhimu, mpasuaji ni muhimu kuusimamisha moyo wa mtoto, 
kukata usambazaji wa damu kwenye moyo na kukausha damu yote ili aweze 
kuona vema miundo ya ndani. Pamoja na utaratibu huu mgumu, wakati wa 
upasuaji ni wa muhimu na makini sana. Ugumu huongezeka kadiri upasuaji 
unapochukua muda mrefu. Ni muhimu kwa timu nzima kufanya kazi katika 
hali ya maelewano kwa lengo la pamoja la kuokoa maisha.


Wakati
 mtoto anapohisiwa kuwa na ugonjwa wa moyo hatua ya awali ya kuchunguza 
hili ni kwa kufanya vipimo kama vile kuchukua X-ray ya kifua na ECG 
ambapo husaidia kuthibitisha uchunguzi. Mionzi ya sauti ya moyo (ECG) 
mara nyingi husaidia katika uchunguzi. Hii itatoa taarifa za kutosha kwa
 ajili ya mtaalamu na / au mpasuaji wa moyo na kuamua namna matibabu 
yanavyopaswa kufanyika. Kama vipimo vya ziada au zaidi vinahitajika, 
takwimu hizi zinaweza kupatikana kwa njia za uchunguzi kama wa kutumia 
katheta ya moyo na ‘anjiografia’, CT na MRI ‘anjiogramu’ ya moyo.





Uboreshaji
 wa hatua hizi za uchunguzi umeongezeka ubora wa upasuaji kwa watoto. 
Daktari mpasuaji au mtaalamu wa moyo sasa utakuwa na mwongozo wa pande 
tatu za ugonjwa wa moyo kabla ya utekelezaji wa wake. Hii inatoa mpango 
bora wa upasuaji usiokabiliwa na matatizo wakati wa upasuaji na kwa hiyo
 matokeo ya upasuaji kuwa bora zaidi na yenye mafanikio zaidi.





Kuna
 tiba kadhaa ambazo zinapatikana kwa sasa. Baadhi ya hizi ni pamoja na 
mbinu ya kutumia matundu madogo na upasuaji wa moyo kwa kuufungua na 
kuufunga. Mbinu ya matundu huweza kukamilika kwa siku moja tu na hii 
inaweza kufanywa na wataalamu wenye ujuzi wa hali ya juu wa magonjwa ya 
moyo kwa watoto. Utaratibu huu unahitaji kupatikana kwa vifaa 
vinavyowezesha  kuipata  mashimo midogo ya moyo ambayo imefungwa na 
valvu na kujificha ndani sana. Kwa mbinu hii  mtoto hapati maumivu ya 
kukatwa. Utaratibu huu hauhitaji  mashine ya upumuaji kuwekwa au mtoto 
kuwekwa katika chumba maalumu cha wagonjwa mahututi mtoto anaweza kupona
 kwa haraka zaidi na kurudi shule na hata kushiriki katika michezo.


Namna 
 nyingine za matibabu ambazo zinaweza kutumika kwa watoto wenye hali 
mbaya zaidi ya moyo ni ile ya kuufungua na kuufunga moyo yaani 
(upasuaji). Upasuaji huu unaweza kufanywa kwa watoto wachanga wenye umri
 wa masaa manne hadi matano au wenye gramu 800. Kutokana na utata wa 
hali hii, umuhimu wa kutumia timu shirikishi unasisitizwa zaidi. Hata 
mtaalamu wa upasuaji awe mjuzi sana, atahitaji msaada kutoka kwa timu.


Watu
 kadhaa wanahusika katika mchakato huu. Wauguzi wanashiriki katika 
kuwahudumia watoto ambao wamefanyiwa upasuaji wa moyo. Madaktari wa 
watoto wanashiriki kuwahuduma baada ya upasuaji kama vile kudhibiti 
maumivu, kudhibiti maambukizi na msaada wa kisaikolojia na teknolojia ya
 kisasa inaruhusu usahihi zaidi katika uchunguzi. Hii ni sehemu muhimu 
zaidi kuhakikisha maisha ya mtoto yanaendelea.





Kwa
 mujibu wa Dkt Neville A.G Solomon wa Hospitali ya Watoto Apollo, 
Chennai, kinga ni bora kuliko tiba. Kuna njia nyingi ambazo mtu anaweza 
kujaribu na kuzuia ugonjwa wa moyo wa kuzaliwa. Kliniki (ya mjamzito) 
kupata kipimo maalumu kitaalamu ‘echocardiography, ambacho hutumika 
kuchunguza moyo wa mtoto akiwa ndani tumbo la mama. Daktari bingwa wa 
Moyo unaweza kutambua kasoro za moyo mapema wiki ya kumi na nane ya 
ujauzito. Kwa hiyo ‘echocardiogram’ itawezesha wazazi kufanya maamuzi 
sahihi juu ya mustakabali wa mtoto kama kuna kasoro zilizogundulika 
katika moyo.





Njia
 nyingine ambayo inaweza kuzuia au kupunguza hatari kwa kuepukana ndoa 
kati ya ndugu wa damu, kwa mama kuacha kutumia baadhi ya madawa, na 
kuepuka mionzi wakati wa ujauzito huweza kumfanya mtoto kuzaliwa na 
kasoro katika moyo na pia mama kuepuka maambukizi. Njia ya kawaida ya 
kuepuka ugonjwa wa baridi yabisi katika moyo wa mtoto ni kwa kupatiwa 
matibabu ya maambukizi katika  koo kwa wakati kwa kutumia antibiotiki.





Timu
 ya wataalamu wa magonjwa ya moyo kwa watoto Hospitali ya Apollo Chennai
 inaona fahari kubwa kupambana dhidi ya maradhi ya moyo kwa watoto 
duniani kote. Hii imewezekana kutokana na uvumbuzi mashine za mawimbi ya
 sauti zinazobebeka na za ukubwa wa kompyuta ndogo (mpakato). Hii 
Inawawezesha kufika sehemu za mbali zaidi duniani na kuchunguza kasoro 
na magonjwa ya moyo.


Baada
 ya upasuaji ingawa watoto wengi hutibiwa kikamilifu bado watahitaji 
ufuatiliaji kwa miaka ijayo. Baadhi wanaweza kuhitaji kurudiwa upasuaji 
hata hivyo wengi hawatahitaji dawa tena na kuwa na uwezo wa kuendelea na
 maisha ya kawaida kama watoto wengine. Wataweza wa kuishi wakiwa afya 
kwa muda mrefu maishani bila matatizo.





Inachangiwa na:




Dk Neville A.G Solomon

Mshauri, Mtaalamu Upasuaji wa Moyo kwa Watoto & Watu Wazima na Mkuu wa Idara ya Upasuaji Moyo kwa Watoto

Hospitali ya Watoto Apollo, Chennai.





http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/08/court_gavel2.jpg">http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/08/court_gavel2.jpg
" alt="court_gavel" width="500" height="300" />
Na Mwandishi wetu
MAHAKAMA ya Mwanzo Kizuiani Mbagala Jijini Dar es Salaam,  imeshindwa kutoa hukumu kwenye kesi ya madai ya talaka na mgawanyo wa mali iliyofunguliwa na mkazi wa Singida, Magreth Mwangu dhidi ya Mkurugenzi wa Shule ya Sekondari ya St. Mathew na St. Marks,Thadei Mtembei.
Katika madai yake ya Msingi, Mwangu anaomba mahakama imuamuru mdaiwa kutoa Sh. Milioni 800 na makazi ya kukaa mdai na watoto wake.
Hakimu wa mahakama hiyo Rajab Tamaambele akiahirisha alisema kwamba mzee mmoja wa mahakama amefiwa.
Mahakama hiyo inatarajia kutoa hukumu hiyo alhamisi ya tarehe 27/10/2015.
Katika kesi hiyo Miongoni mwa mashahidi waliotoa ushahidi mahakamani hapo ni pamoja na Mwangu ambaye alidai kuwa alianza kuishi na Mutembei mwaka 1995 Kongowe Mbagala ambapo mwaka 1998 alikwenda kwa wazazi wa Mwangu kijiji cha Kwaye Iguguno Singida ambapo alitoa mahali na walifunga ndoa ya kimila.
Alisema mtoto wa kwanza alizaliwa mwaka 1998, huku mtoto wa pili akizaliwa mwaka 2000 na mtoto wa tatu  2003
Katika ushahidi wao, watoto wa Mwangu ambao wanasoma katika shule za St Mary’s International na Hijra Seminari ya Dodoma, wamedai kuwa wanasumbuliwa ada na kwamba wanahitaji malezi yote kutoka kwa baba yao.
Watoto hao waliiambia mahakama kuwa, mara ya mwisho kumuona baba yao ni mwaka 2011.
Mtoto wa kwanza wa Mwangu alidai kuwa mwaka 2012 walifika katika Hoteli ya baba yao ya Sleep inn ndipo aliwafukuza na kuwaambia kuwa hawezi kuwalipia ada na badala yake aliwapa S.h 40,000 kila mmoja, fedha ambazo aliziacha mezani.
Pia walidai kuwa Mtembei aliwatolea maneno ya kashfa kwamba hata mama yao aende wapi, anao uwezo na kwamba anajeshi ambalo popote linafika.
Wakati wa ushahidi wake Mutembei alisema alifahamiana na Mwangu wakati akiwa na mfanya usafi katika duka lake la dawa.
Alisema hakuwahi kumuoa mama huyo wala kuishi naye licha ya kuzaa naye watoto watatu.

https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEiaxzZYYlPSY8Kn0u1n4l1i0vb8v4cx3FuJGdgEquyDI4I4NlMwS4YBc-LmccedSeDk1RVQcJCv5Rlt6rEDSDxzwQVR3C1LK7EGIZWr6Iyx1Pvkolglb3A8NORCVy0RmI3vXMpJd0oBKSsU/s1600/HAJI.jpg" imageanchor="1" style="clear: right; margin-bottom: 1em; margin-left: auto; margin-right: auto; text-align: justify;">https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEiaxzZYYlPSY8Kn0u1n4l1i0vb8v4cx3FuJGdgEquyDI4I4NlMwS4YBc-LmccedSeDk1RVQcJCv5Rlt6rEDSDxzwQVR3C1LK7EGIZWr6Iyx1Pvkolglb3A8NORCVy0RmI3vXMpJd0oBKSsU/s1600/HAJI.jpg
" />
Afisa Wa Elimu Zanzibar Bw Suleiman 
Yahya Ame kulia, akionesha makala ya kitabu.
Na Abou Shatry Washington DC

Jumuiya ya Wazanzibari waishio Nchini Marekani (ZADIA), imepongezwa kwa kusaidia gurudumu la maendeleo ya Elimu visiwani Zanzibar.

Pongezi hizo zimetolewa na Mkurugenzi wa Elimu ya Juu Zanzibar Bw. Suleiman Yahya Ame wakati wa kupokea mchango wa vitabu vya Ufundi na Mafunzo ya Amali uliotolewa na ZADIA kwa ajili ya shule za ufundi visiwani humo.

Akizungumza kama mgeni rasmi katika hafla hiyo iliyofanyika mjini Zanzibar, Bw. Ame pia aliwashukuru Wanadiaspora hao kwa kuendeleza juhudi za kujenga jamii iliyoelimika Zanzibar.

Aliendelea kusema "Tukiwa na mahitaji makubwa ya vitabu katika shule zetu, vitabu hivi vimewasili katika wakati mwafaka, na tunashukuru kwa msaada huu", na kungoeza kuwa juhudi kama hizi zitasaidia kuigeuza Zanzibar kuwa jamii inayojitosheleza kiajira.

Alizitolea wito shule zilizofaidika na vitabu hivyo kuvitumia vizuri kwa lengo la kuisaidia Zanzibar kufikia malengo yake ya kielimu.

Bwana Ame alimalizia kwa kuitolea wito ZADIA kupanua zaidi mfumo wa misaada yake ya kielimu na kujumuisha ujenzi wa madarsa na vitabu vya taaluma nyengine ambazo Zanzibar ina upungufu mkubwa, kama vile taaluma ya Fedha na nyenginezo.

Naye Mwenyekiti wa ZADIA Bwana Omar Haji Ali, alisisitiza azma ya Jumuiya yake ya kuendeleza juhudi za kusaidia maendeleo Zanzibar.

Katika hotuba yake iliyosomwa kwa niaba yake na mwakilishi wa ZADIA Zanzibar Bwana Mussa Shehe kwenye hafla ya makabidhiano ya vitabu hivyo, Bw. Ali alisema "ZADIA, tangu kuanzishwa kwake imekuwa msitari wa mbele katika harakati za kusaidia maendeleo Visiwani Zanzibar katika nyanja tofauti"

MISATAN TO HOLD RTIWORKSHOP FOR SELECTED BLOGGERS AND EDITORS


https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEiYY9TxF2HijWoAzKoBoMkSzvyRqDdMeCWqQ8Pxy8b6XFhpyx5S_hwEQSjCVrKICjtg2D199lwHpOo2OQguCeLAapHkXfdurtrM_u3ZpBC1CyAqIzs7DjCmCFXDGtm-CqfKXjk9fBlwRi9r/s1600/bbbbbbbbbbbbbbbbbbbb.PNG" imageanchor="1" style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;">https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEiYY9TxF2HijWoAzKoBoMkSzvyRqDdMeCWqQ8Pxy8b6XFhpyx5S_hwEQSjCVrKICjtg2D199lwHpOo2OQguCeLAapHkXfdurtrM_u3ZpBC1CyAqIzs7DjCmCFXDGtm-CqfKXjk9fBlwRi9r/s640/bbbbbbbbbbbbbbbbbbbb.PNG
" width="640" />

MISATAN to sharpen Bloggers & Editors’ skills
on RTI, Election Reporting
By
Gasirigwa GS

The
Media Institute of Southern Africa (MISA) Tanzania Chapter in association with
the Centre for ICT Policy promotion in Africa (CIPESA) will tomorrow train a
selected number of bloggers and editors on Right to Information with special
focus on this year’s general election.

Editors
and bloggers will be taught on the safest ways to access information and report
responsibly during campaigns and the entire election period. Attention will be
directed to the Cyber crime and the Statistics Acts which are already in effect
and have dire consequences on media practice.

Participants
will also be introduced to ‘The Broadcasting Services (Content) (The Political
Party Elections Broadcasts) Code 2015’ which was gazetted on June 26, 2015.
Bloggers, SMS pollsters, and broadcasters in general will seriously be affected
by this Code. The Code was developed by the Tanzania Communication Regulatory
Authority (TCRA).

About
20 selected Dar es Salaam-based editors and bloggers have confirmed to take
part in this one-day workshop, scheduled for tomorrow Thursday the 27th
of August at Kebbys Hotel in Dar es Salaam.

Similar
training was held two weeks ago in Mwanza and drew participants from Geita,
Mara and Mwanza itself. The Mwanza training specifically targeted journalists
who basically cover rural areas.


MISATAN and CIPESA believe that
the media needs to responsibly serve the public in a way that will
provoke positive engagement and subsequent improvement in the political
administration of the country.


http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/08/court_gavel2.jpg">http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/08/court_gavel2.jpg
" alt="court_gavel" width="500" height="300" />
Na Mwandishi wetu
MAHAKAMA ya Mwanzo Kizuiani Mbagala Jijini Dar es Salaam,  imeshindwa kutoa hukumu kwenye kesi ya madai ya talaka na mgawanyo wa mali iliyofunguliwa na mkazi wa Singida, Magreth Mwangu dhidi ya Mkurugenzi wa Shule ya Sekondari ya St. Mathew na St. Marks,Thadei Mtembei.
Katika madai yake ya Msingi, Mwangu anaomba mahakama imuamuru mdaiwa kutoa Sh. Milioni 800 na makazi ya kukaa mdai na watoto wake.
Hakimu wa mahakama hiyo Rajab Tamaambele akiahirisha alisema kwamba mzee mmoja wa mahakama amefiwa.
Mahakama hiyo inatarajia kutoa hukumu hiyo Ijumaa Oktoba 27.
Katika kesi hiyo Miongoni mwa mashahidi waliotoa ushahidi mahakamani hapo ni pamoja na Mwangu ambaye alidai kuwa alianza kuishi na Mutembei mwaka 1995 Kongowe Mbagala ambapo mwaka 1998 alikwenda kwa wazazi wa Mwangu kijiji cha Kwaye Iguguno Singida ambapo alitoa mahali na walifunga ndoa ya kimila.
Alisema mtoto wa kwanza alizaliwa mwaka 1998, huku mtoto wa pili akizaliwa mwaka 2000 na mtoto wa tatu  2003
Katika ushahidi wao, watoto wa Mwangu ambao wanasoma katika shule za St Mary’s International na Hijra Seminari ya Dodoma, wamedai kuwa wanasumbuliwa ada na kwamba wanahitaji malezi yote kutoka kwa baba yao.
Watoto hao waliiambia mahakama kuwa, mara ya mwisho kumuona baba yao ni mwaka 2011.
Mtoto wa kwanza wa Mwangu alidai kuwa mwaka 2012 walifika katika Hoteli ya baba yao ya Sleep inn ndipo aliwafukuza na kuwaambia kuwa hawezi kuwalipia ada na badala yake aliwapa S.h 40,000 kila mmoja, fedha ambazo aliziacha mezani.
Pia walidai kuwa Mtembei aliwatolea maneno ya kashfa kwamba hata mama yao aende wapi, anao uwezo na kwamba anajeshi ambalo popote linafika.
Wakati wa ushahidi wake Mutembei alisema alifahamiana na Mwangu wakati akiwa na mfanya usafi katika duka lake la dawa.
Alisema hakuwahi kumuoa mama huyo wala kuishi naye licha ya kuzaa naye watoto watatu.

KAWAIDA

court_gavel
Na Mwandishi wetu
MAHAKAMA ya Mwanzo Kizuiani Mbagala Jijini Dar es Salaam,  imeshindwa kutoa hukumu kwenye kesi ya madai ya talaka na mgawanyo wa mali iliyofunguliwa na mkazi wa Singida, Magreth Mwangu dhidi ya Mkurugenzi wa Shule ya Sekondari ya St. Mathew na St. Marks,Thadei Mtembei.
Katika madai yake ya Msingi, Mwangu anaomba mahakama imuamuru mdaiwa kutoa Sh. Milioni 800 na makazi ya kukaa mdai na watoto wake.
Hakimu wa mahakama hiyo Rajab Tamaambele akiahirisha alisema kwamba mzee mmoja wa mahakama amefiwa.
Mahakama hiyo inatarajia kutoa hukumu hiyo Ijumaa Oktoba 27.
Katika kesi hiyo Miongoni mwa mashahidi waliotoa ushahidi mahakamani hapo ni pamoja na Mwangu ambaye alidai kuwa alianza kuishi na Mutembei mwaka 1995 Kongowe Mbagala ambapo mwaka 1998 alikwenda kwa wazazi wa Mwangu kijiji cha Kwaye Iguguno Singida ambapo alitoa mahali na walifunga ndoa ya kimila. 
Alisema mtoto wa kwanza alizaliwa mwaka 1998, huku mtoto wa pili akizaliwa mwaka 2000 na mtoto wa tatu  2003
Katika ushahidi wao, watoto wa Mwangu ambao wanasoma katika shule za St Mary’s International na Hijra Seminari ya Dodoma, wamedai kuwa wanasumbuliwa ada na kwamba wanahitaji malezi yote kutoka kwa baba yao.
Watoto hao waliiambia mahakama kuwa, mara ya mwisho kumuona baba yao ni mwaka 2011.
Mtoto wa kwanza wa Mwangu alidai kuwa mwaka 2012 walifika katika Hoteli ya baba yao ya Sleep inn ndipo aliwafukuza na kuwaambia kuwa hawezi kuwalipia ada na badala yake aliwapa S.h 40,000 kila mmoja, fedha ambazo aliziacha mezani.
Pia walidai kuwa Mtembei aliwatolea maneno ya kashfa kwamba hata mama yao aende wapi, anao uwezo na kwamba anajeshi ambalo popote linafika.
Wakati wa ushahidi wake Mutembei alisema alifahamiana na Mwangu wakati akiwa na mfanya usafi katika duka lake la dawa.
Alisema hakuwahi kumuoa mama huyo wala kuishi naye licha ya kuzaa naye watoto watatu.