Wednesday, 25 November 2015

Na Mwandishi wetu Washington 
Wakati vikao vya siri vya kutafuta suluhu ya mzozo wa kisiasa visiwani Zanzibar vikiwa vimeripotiwa, juhudi za kuupatia ufumbuzi mzozo huo zimehamia kutoka Ikulu ya Zanzibar na kufika Ikulu ya Marekani (White House).
Wanachama wa ZADIA kutoka majimbo tafauti Nchini Marekani wakionyesha mabango yao 
Mnamo tarehe 21 mwezi huu, Wazanzibari waishio nchini Marekani waliandamana hadi kwenye Ikulu ya nchi hiyo katika juhudi za kutafuta uingiliaji kati wa kimataifa ili kuupatia suluhisho mzozo huo.
Akizungumza na waandishi wa habari mbele ya Ikulu hiyo, Mwenyekiti wa Jumuiya ya Wazanzibari Waishio nchni Marekani (ZADIA) iliyoandaa maandamano hayo Bwana Omar Haji Ali, alisema kuwa maandamano hayo yanakuja katika juhudi za Jumuiya hiyo za kutafuta uingiliaji kati wa kimataifa katika kuukwamua mgando wa kisisas visiwani Zanzibar.
Aliendelea kusema kwamba maandamno hayo pia yana lengo la kumkumbusha rais Barack Obama wa Marekani kutekeleza ahadi yake ya kuilinda demokrasia Barani Afrika.
"Katika hotuba yake aliyoitoa kwenye Makao Makuu ya Umoja wa Afrika mapema mwaka huu, rais Obama alisema '.. pale ambapo raia hawawezi kutekeleza haki zao, basi ulimwengu una jukumu la kukemea. Na Marekani itafanya hivyo, hata kama wakati mwengine itakuwa inauma'..", alikumbusha Bwana Ali.
Aliongeza kuwa "Wananchi wa Zanzibar wameshindwa kutekeleza haki yao kwa zaidi ya nusu karne sasa. Wakati umefika sasa kwa ulimwengu kuchukua jukumu lake. Wakati umefika sasa kwa Marekani siyo tu kukemea, lakini pia kuchukua hatua za kivitendo ili kuhakikisha kuwa sauti za Wazanzibari zinasikilizwa na kuheshimiwa"
Alipoulizwa ni hatua gani watakazochukuwa iwapo Serikali ya Marekani haikuchukua hatua yoyote kusaidia kumaliza mgando wa kisiasa Zanzibar, Bwana Ali alisema "Tuna imani na rais Obama, na tumemfikishia barua ya malalamiko yetu, na tunasubiri jibu lake, na imani yetu ni kuwa atachukua hatua madhubuti khususan ikizingatiwa kuwa Ubalozi wa Marekani nchini Tanzania ulikuwa wa mwanzo kutoa taarifa kuelezea kuwa uchaguzi wa Zanzibar ulikuwa wa haki na huru" Alidokeza kuwa, iwapo hali itaendelea kubakia kama ilivyo, basi ZADIA itaelekea kwnye Umoja wa Mataifa.

Tuesday, 24 November 2015




Mshereheshaji wa hafla MC Taji Liundi akitoa maelekezo jinsi intaneti ya kasi zaidi kutoka Tigo katika  hafla ya uzinduzi wa intaneti ya kasi ya Tigo LTE   iliyofanyika jijini Arusha  mwishoni wa wiki iliyopita  
Wadau Husni na Benedict Mponzi wakiwa katika pozi katika hafla ya uzinduzi wa intaneti ya kasi ya Tigo LTE   iliyofanyika jijini Arusha  mwishoni wa wiki iliyopita  
Watoa huduma wa Tigo wakiwa katika pozi tayari kutoa msaada na maelekezo jinsi gani wateja wa TIgo wa jijini Arusha na maeneo ya jirani watakavyofurahia intaneti ya kasi  hafla ya uzinduzi wa intaneti ya kasi ya Tigo LTE   iliyofanyika jijini Arusha  mwishoni wa wiki iliyopita  
Mkuu wa kitengo cha biashara wa Tigo  Bw, Shavkat Berdiev akitoa hotuba fupi katika hafla ya uzinduzi wa intaneti ya kasi ya Tigo LTE   iliyofanyika jijini Arusha  mwishoni wa wiki iliyopita


Wageni rasmi wakipiga ngoma kama kuashiria uzinduzi rasmi w a Intaneti ya kasi zaidi nchini ya TIGO 4G lte katika hafla ya uzinduzi huo  iliyofanyika jijini Arusha  mwishoni wa wiki iliyopita  




Watoa huduma wa Tigo mkoani Arusha wakiwa katika pozi na tayari kutoa huduma na maelekezo jinsi huduma ya Tigo 4G lte itakavyowanufaisha wakazi wa jiji la Arusha na maeneo ya jirani katika hafla iliyofanyika jijini Arusha mwishoni wa wiki iliyopita 


Mtaalamu wa mitandao ya kijamii wa Tigo , Bi Samira Baamar akiwa na washindi wa zawadi za vifaa vya intanet vinavyotumia teknolojia ya 4g lte  (MODEM NA ROUTER ) waliofanikiwa kujishindia katika hafla ya uzinduzi wa intaneti ya kasi ya Tigo LTE   iliyofanyika jijini Arusha  mwishoni wa wiki iliyopita  
Mgeni rasmi Wilson E Nkambaku , mkuu wa wilaya  Arumeru akitoa hotuba fupi katika hafla ya uzinduzi wa intaneti ya kasi ya Tigo LTE   iliyofanyika jijini Arusha  mwishoni wa wiki iliyopita  

Umati wa wakazi wa jiji la Arusha wakifurahia jambo katika katika hafla ya uzinduzi wa intaneti ya kasi ya Tigo LTE   iliyofanyika jijini Arusha  mwishoni wa wiki iliyopita 


Arusha, Novemba 18 2015. Wateja wa Tigo waishio Arusha sasa wanaweza kupata mtandao wa intaneti wenye kasi kubwa zaidi kufuatia upanuzi wa upatikanaji wa huduma ya 4G LTE hadi kufikia jiji hilo lilopo kaskazini mwa Tanzania Teknolojia ya 4G LTE ina kasi mara tano zaidi kuliko teknolojia ya 3G inayopatikana nchini kwa sasa.
‘’Upanuzi huu umetokana na mafanikio makubwa yaliyopatikana katika majaribio ya awali ya utoaji huduma ya 4G jijini Dar es Salaam kuanzia mapema mwaka huu’’, amesema Mkuu wa Kitengo cha Internet David Zacharia.
Akizungumza  na waandishi wa habari jijini Arusha, Zacharia amesema: "ni kielelezo cha jinsi ambavyo Tigo imedhamiria kufanikisha kuleta mabadiliko ya dijitali katika maisha ya watanzania na pia kuwa katika msitari wa mbele wa kutumia teknolojia ya kisasa na kibunifu nchini Tanzania."
Mtandao wa 4G LTE una kasi kubwa zaidi katika kuperuzi na kupakua kwa rahisi kutoka kwenye mtandao wa intaneti na pia katika kufanya mawasiliano kwa njia ya Skype. Huduma hii pia inaharakisha urushwaji wa picha za video na ubora hali ya juu na kufanya mikutano kwa njia ya mtandao. 

“Tunapenda kuwahakikishia wateja wetu waishio Arusha kwamba sasa wanaweza kufurahia huduma bora zaidi za mawasiliano kutoka Tigo na Intaneti yenye kasi zaidi,” Gutierrez amesema. Arusha ni makao makuu ya taasisi nyingi za kimataifa ikiwemo Jumuiya ya Afrika Mashariki na kitovu cha utalii nchini.
Wateja wote wa Tigo 4G LTE watanufaika na promosheni; kila atakapo ongeza salió la shilingi  elfu moja au zaidi, atapata mb 500 bure kama bonasí.

Ametaja miji mingine katika mikoa sita ambapo 4G itaanza kupatikana hivi karibuni kuwa ni Arusha, Dodoma, Morogoro, Moshi, Mwanza na Tanga, “jambo ambalo linaifanya Tigo kuwa na mtandao mkubwa wa 4G nchini Tanzania.” Lengo kuu ni kufkisha huduma ya 4G katika kila kona za nchi ifikapo mwaka ujao, Zacharia ameongeza kusema. 
The Republic of Benin will participate in the investment-oriented business forum - The Global African Investment Summit  (TGAIS) - holding in London on December 1st and 2nd 2015 at Central Hall, Westminster, London, UK.
At this event, His Excellency President Thomas Boni Yayi and the Prime Minister Lionel Zinsou, together with key ministers, will be presenting a selection of priority projects to top international business players. The projects presented are part of a national development plan aimed at making the Republic of Benin an emerging nation in the next ten years.
The projects involve telecommunications, agriculture, public infrastructure (highway, bridge, and airport), health and housing. They will be presented by the relevant ministers before an audience of leading economic operators.
Yayi expressed his enthusiasm at participating alongside his Ghanaian, Ugandan, Rwandese, Liberian and Malawi counterparts in this exceptional forum. “After the success of the Paris Round Table, which has allowed us to collect almost 10 billion dollars intended to finance structural projects, we aim to develop business partnerships in order to fund and operate high-scale projects,” he said.
Prime Minister Lionel Zinsou underlined that “the Global African Investment Summit is a strategic and exceptional opportunity for Benin to showcase sound projects and to meet with worldwide investors”.
Further information is available at: tgais.com/register
-
Burkina Faso set for an electoral uprising?
24 November 2015

On Sunday, 29 November, around 5.5 million people are expected at the polls in Burkina Faso to elect the next president and the 127 members of Parliament. These elections, the first after the ousting of former president Blaise Compaoré, will see 14 presidential candidates and 6 944 Parliamentary candidates vie for top spots in the country’s leadership.
The current mind-set among most Burkinabes is a mixture of hope and anxiety. The electoral process, which was interrupted following the attempted coup d’état of 16 September 2015, was meant to end with elections initially scheduled for 11 October.
Although some voters seem to have lost faith in the power of the ballot as a means to express and realise their expectations, many remain hopeful that these elections could mark the beginning of long-awaited change. The polls will certainly be a test for the country’s democratic maturity.
Some voters in Burkina Faso seem to have lost faith in the power of the ballot
TWEET THIS
With four days to go before the polls, it is important to note that the electoral campaign, officially launched on 8 November, has so far taken place amid a generally peaceful atmosphere. President Michel Kafando, the current leader of the transitional government, has called for a calm atmosphere free of hate speech or incitement to violence. This was echoed by other personalities, such as the president of the National Independent Electoral Commission (CENI) and the Attorney General of the Ouagadougou Court of Appeal, and their pleas for peace seem to have been heard. Except for a few cases of posters being vandalised and some verbal bluster, there have been no major incidents to disturb the campaign or cause tension.
This week, the various protagonists will most likely throw all their weight into some last-minute electioneering. This could result in localised tensions, especially between supporters of the two favourite candidates; Marc Christian Kaboré from the People’s Movement for Progress (MPP) and Zéphirin Diabré from the Union for Progress and Change (UPC). Political actors must continue to act responsibly, especially by calling on supporters to exercise the utmost restraint and respect for opponents.
There is a real risk that the results of Sunday’s election will be contested
TWEET THIS
The risk of instability that has been present throughout the transition – fuelled by the various socio-political upheavals and interference in the political process from the former Régiment de sécurité présidentielle (RSP) – remains a cause for concern.
The dissolution of the RSP and the detention of some military officers would have helped to reduce the potential threat posed by the former majority party. Some observers have, however, not ruled out the possibility of former RSP elements destabilising the electoral process, especially those who have not yet taken up their new posts within the army.
The Burkinabe government has allocated close protection to all presidential candidates, and has mobilised at least 25 000 defence and security personnel to secure the electoral process. The state is also expected to reinforce border controls. However, while most actors and observers will find these measures reassuring, their effectiveness remains to be seen.
The main area of concern is the approach adopted by the political actors and their supporters towards the integrity and reliability of the electoral process; specifically their trust in the voting and counting operations. The upcoming elections will no doubt be the most competitive poll that Burkina Faso has organised since multi-partyism was restored in 1991. It is therefore crucial that the electoral process be transparent and credible.
To help ensure this, the CENI has put in place a set of mechanisms. Seen to be reliable, these mechanisms were explained to the political actors and citizens. They include, among other things, a biometric electoral register and a satellite system to collect and disseminate the results.
This does not, however, rule out the possibility of errors occurring. If that were to happen, this could delay the announcement of the results, which the CENI plans to publish the day after the election. Such a delay could spark confusion, suspicion and might eventually result in tensions.
Burkina Faso will continue to face many socio-economic and political challenges
TWEET THIS
Several monitoring mechanisms will also be deployed to enhance the credibility of the poll. The Economic Community of West African States, European Union and several civil society organisations will play an important role in this regard. For instance, a grouping of civil society organisations called Coordination des organisations de la société civile pour l’observation domestique des elections, or CODEL, manages a real-time monitoring system of voting and counting operations. CODEL plans to deploy more than 5 000 domestic observers.
These measures should help reduce the chance of the results being contested, which unfortunately remains a real risk. If this were to happen, the Burkinabe authorities should invite and encourage stakeholders to make use of existing legal mechanisms. Besides the concerns already mentioned, other unknowns include not only the level of participation, but also the outcomes of both the presidential and legislative elections.
Beyond the elections, the post-Compaoré, post-uprising and post-transition Burkina Faso will continue to face many socio-economic and political challenges. Civil society organisations will have their work cut out for them in urging the next set of leaders to live up to the nation’s expectations.
William Assanvo, Senior Researcher, Conflict Prevention and Risks Analysis Division, ISS Dakar
SWAHILI FASHION WEEK. POP UP SHOP will be hosted by Italian Ambassador to Tanzania HE Luigi Scotto on 28th November from 10AM to 4PM on 104 Kenyatta Drive in Dar es Salaam. ENTRANCE IS FREE. There shall be various exhibitors who shall display and sell garments, crafts, art and accessories. CLICK BELOW
DESIGNERS 
TICKETS 
VOTE NOW 
DOWNLOAD Media Accreditation forms NOW 
         
SWAHILI FASHION WEEK
P.O.Box 10684,
Dar es Salaam,
United Republic of Tanzania
You received this email as you are a supporter of Art, Culture , Fashion & Lifestyle.
" />
Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro,Amosi Makala akiwa katika ofisi ya Mkurugenzi wa Manispaa ya Moshi,kuzingumza na watendaji wa Afya na Mazingira.
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEiakO6Gwgx4dRmfh2O2Mbup2E9yfXsewi4lvvPSdpJygACuSt9kfzLDpz784hsCbYPqJ9iy2vcRP0YiTQBPTa9WK28QjrREU0careV8Qhfosmeg-urMZE9pLdwF-H3VszIiX2zmzcNp8_NG/s1600/IMG_8950+%25281024x683%2529.jpg" imageanchor="1" style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;">https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEiakO6Gwgx4dRmfh2O2Mbup2E9yfXsewi4lvvPSdpJygACuSt9kfzLDpz784hsCbYPqJ9iy2vcRP0YiTQBPTa9WK28QjrREU0careV8Qhfosmeg-urMZE9pLdwF-H3VszIiX2zmzcNp8_NG/s640/IMG_8950+%25281024x683%2529.jpg
" />
Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro,Amosi Makala akifurahia jambo mara baada ya kukutana na watendaji wa Halmashauri kuzungumzia juu ya hofu ya Ugonjwa hatari wa Kipindupindu.kushoto kwake ni kaimu mkurugenzi wa Manispaa hiyo Jeshi Lupembe. 
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEjFug0WMw-f2oS54kOlV_OHNiDgicGpngPGJfY2hhphKdtx4FAKvQv-iZ0QCODUGMT2zWrpjoQJvVQEvXPnTG14MZexIGRKfzyJKYrJVk-izPZfGg2ObsNB8RI3oyd_qsfLZzvBhOygS9Wc/s1600/IMG_8954+%25281024x683%2529.jpg" imageanchor="1" style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;">https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEjFug0WMw-f2oS54kOlV_OHNiDgicGpngPGJfY2hhphKdtx4FAKvQv-iZ0QCODUGMT2zWrpjoQJvVQEvXPnTG14MZexIGRKfzyJKYrJVk-izPZfGg2ObsNB8RI3oyd_qsfLZzvBhOygS9Wc/s640/IMG_8954+%25281024x683%2529.jpg
" />
Baadhi ya watendaji.
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEgeZKUF6qfUL8QQXd4NBx4pAkirEeuimZIEBBxoWM2S6Q8aD2PESrUvP74_g0axp2DS1OctDsZi9yUMHINJCFPeeFhuqmHMibCHyTeOo_aGdZm19up98mAuQSNRuQRx27eXnh83rptIDOjT/s1600/IMG_8958+%25281024x683%2529.jpg" imageanchor="1" style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;">https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEgeZKUF6qfUL8QQXd4NBx4pAkirEeuimZIEBBxoWM2S6Q8aD2PESrUvP74_g0axp2DS1OctDsZi9yUMHINJCFPeeFhuqmHMibCHyTeOo_aGdZm19up98mAuQSNRuQRx27eXnh83rptIDOjT/s640/IMG_8958+%25281024x683%2529.jpg
" />
Mkuu wa wilaya ya Moshi ,Novatus Makunga akiwa na mmoja wa maofisa wakifuatilia maelelzo yaliyokuwa yakitolewa ofisini hapo.
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEhUxBpk-9cRITCGSzsrbn2H-FpiAI-PVvSpOK2hcmpe7wnK-TKAVOG5vrN3PK5ryUNQILm9ycfzTDGIiOTiDTTQnSydBHPKVHmo308qXfJ7I8C0cEs-CquEzw6wT-wXFrIayx1wErfVXFCp/s1600/IMG_8968+%25281024x683%2529.jpg" imageanchor="1" style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;">https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEhUxBpk-9cRITCGSzsrbn2H-FpiAI-PVvSpOK2hcmpe7wnK-TKAVOG5vrN3PK5ryUNQILm9ycfzTDGIiOTiDTTQnSydBHPKVHmo308qXfJ7I8C0cEs-CquEzw6wT-wXFrIayx1wErfVXFCp/s640/IMG_8968+%25281024x683%2529.jpg
" />
Mkuu wa mkoa wa Kilimanjaro,Amos Makala akizungumzia changamoto iliyojitokeza hivi karibuni ya kujaa kwa dampo la kutupa taka hali iliyosababisha mrundikano wa takataka katika maeneo mbalimbali ya mji wa Moshi,Hapa alikuwa akitoa agizo taizo hilo kushughulikiwa mara moja.
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEh4U-a7xDIhvHGL5WR9iZVkktHcCat7r-G00nffyW7n6Jy-yw_rgM3Dnm5GFdd95hKZdViR1C4rmOSglO_o3vTiQiL2HnpNdDWS1CEry-eG-z-mv8E1JtyOUVcyLrTeEE7EdSA80d7nrS2C/s1600/P1780639+%25281024x768%2529.jpg" imageanchor="1" style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;">https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEh4U-a7xDIhvHGL5WR9iZVkktHcCat7r-G00nffyW7n6Jy-yw_rgM3Dnm5GFdd95hKZdViR1C4rmOSglO_o3vTiQiL2HnpNdDWS1CEry-eG-z-mv8E1JtyOUVcyLrTeEE7EdSA80d7nrS2C/s640/P1780639+%25281024x768%2529.jpg
" />
Baada ya agizo hilo mkuu wa wilaya ya Moshi,Novatus Makunga alifanya ziara katika dampo lilopo Kaloleni kujinea tatizo lililosabaisha magari ya kubeba taka kushindwa kuendelea na zoezi hilo.
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEggB40gUTwmDiFLBlzxaglMcgtUWlmkTHeSn-apPhwBuSnOslvLLzZJb_d2Wsjhvm0fZ7WzHGFsP3HsJ3KrhTj9YKfG-JZ9aheRuwWpkDlXbVPn3zYFHYgse5xKCXOgJO9NpBq83rkWljNe/s1600/P1780640+%25281024x768%2529.jpg" imageanchor="1" style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;">https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEggB40gUTwmDiFLBlzxaglMcgtUWlmkTHeSn-apPhwBuSnOslvLLzZJb_d2Wsjhvm0fZ7WzHGFsP3HsJ3KrhTj9YKfG-JZ9aheRuwWpkDlXbVPn3zYFHYgse5xKCXOgJO9NpBq83rkWljNe/s640/P1780640+%25281024x768%2529.jpg
" />
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEhRB7PVws75RqAl0NZXO4rGIGh65Kyy_FviGTv3s9CvpZYzCThyphenhyphenwSbPc0m2_J0jZw9UeWUgNC1EdTCC_IyFU0UjdQdpp2Alo_rkahP_F79vSrZHWw7Z4tJD9JAKGqTmpEpV66b3qAyIRCqG/s1600/P1780643+%25281024x768%2529.jpg" imageanchor="1" style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;">https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEhRB7PVws75RqAl0NZXO4rGIGh65Kyy_FviGTv3s9CvpZYzCThyphenhyphenwSbPc0m2_J0jZw9UeWUgNC1EdTCC_IyFU0UjdQdpp2Alo_rkahP_F79vSrZHWw7Z4tJD9JAKGqTmpEpV66b3qAyIRCqG/s640/P1780643+%25281024x768%2529.jpg
" />
Katapila likijaribu kusawazisha takataka katika eneo hilo la dampo ili kurahisisha utupwaji wa taka katika eneo hilo.
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEhv9Ht29O-yjOYxbDazg4QVllF5_Kq27hIdZ2fFAKGANkitZdAdmApAiKLz2VD9utXyuOc2MZigKXl2IOtxNBU1YHRAIxzgl4DviPgqL29JRA66hN_nA0nWx-3zx2YEoeVeoz4ODgxZbk40/s1600/P1780644+%25281024x768%2529.jpg" imageanchor="1" style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;">https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEhv9Ht29O-yjOYxbDazg4QVllF5_Kq27hIdZ2fFAKGANkitZdAdmApAiKLz2VD9utXyuOc2MZigKXl2IOtxNBU1YHRAIxzgl4DviPgqL29JRA66hN_nA0nWx-3zx2YEoeVeoz4ODgxZbk40/s640/P1780644+%25281024x768%2529.jpg
" />
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEjIOkIaAe0yo2iK3Y03RClWPOA_6ZPhzz0LTZ1XqrIcX6pgSa35UEo8PAeagJ0lwWqidtAbJ0IRtSwDk8jTy8auFrYsm20SdBYwB1By9nqrbnqhKcD9F6UKQPOVgcwDvHcKpLhppWLQOO6z/s1600/P1780647+%25281024x768%2529.jpg" imageanchor="1" style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;">https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEjIOkIaAe0yo2iK3Y03RClWPOA_6ZPhzz0LTZ1XqrIcX6pgSa35UEo8PAeagJ0lwWqidtAbJ0IRtSwDk8jTy8auFrYsm20SdBYwB1By9nqrbnqhKcD9F6UKQPOVgcwDvHcKpLhppWLQOO6z/s640/P1780647+%25281024x768%2529.jpg
" />
Wakati zoezi la kurekebisha barabara katika eneo la dampo likiendelea,mmoja wa wananchi kkatika eneo hilo alikuwa na shughuli ya kujiokotea vitu ambayo anadhani vitamsadia katika kujipatia kipato.
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEju7vddn19KqVMRuHW1uEGi2O5EaDCCMIZ4kdoj4erTZi7Xm1DxpZ49XM4lZ5BEtvnWkYObfezz4GjpcxeDqZv0DkPAai47PXS6kK4yaN3SMUVCvT-0aDZLSX1DpWbPGBIAsnrDx7sCEF4k/s1600/P1780654+%25281024x768%2529.jpg" imageanchor="1" style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;">https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEju7vddn19KqVMRuHW1uEGi2O5EaDCCMIZ4kdoj4erTZi7Xm1DxpZ49XM4lZ5BEtvnWkYObfezz4GjpcxeDqZv0DkPAai47PXS6kK4yaN3SMUVCvT-0aDZLSX1DpWbPGBIAsnrDx7sCEF4k/s640/P1780654+%25281024x768%2529.jpg
" />
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEi134s8cbkjoRR5RWQzIaYC9BFaSpIJMmMzDPZfYN3QredoggFvg9pemTWmfoVDsjnJ3kYkYyuVs-_R_iq_8jwf4roZUWAkvmp-BGoVFNknAbXqwm8CqKS0_m6cixnyzbmbb_PbHig3OO9E/s1600/P1780659+%25281024x768%2529.jpg" imageanchor="1" style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;">https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEi134s8cbkjoRR5RWQzIaYC9BFaSpIJMmMzDPZfYN3QredoggFvg9pemTWmfoVDsjnJ3kYkYyuVs-_R_iq_8jwf4roZUWAkvmp-BGoVFNknAbXqwm8CqKS0_m6cixnyzbmbb_PbHig3OO9E/s640/P1780659+%25281024x768%2529.jpg
" />
Mifugo aina ya Mbuzi pia wamekuwa wakifanya eneo hilo la dampo kama sehemu ya kujipatia chakula.
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEg-BOMVdwCd3aUr44oLOBzhvIRSu8W68lEwplkog4w60uZe7nwqQHu4iucjEkAcGilK3vw51t02rd8t679c9xMVSLUzrfL7PqWhFVAgWCrXV5Vi4L22Eee49WbZFCKKp9iGvu0GVF9ETBRK/s1600/P1780671+%25281024x768%2529.jpg" imageanchor="1" style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;">https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEg-BOMVdwCd3aUr44oLOBzhvIRSu8W68lEwplkog4w60uZe7nwqQHu4iucjEkAcGilK3vw51t02rd8t679c9xMVSLUzrfL7PqWhFVAgWCrXV5Vi4L22Eee49WbZFCKKp9iGvu0GVF9ETBRK/s640/P1780671+%25281024x768%2529.jpg
" />
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEgHMHPkH55HeHuaYaw9dNx4DWbLm3zWUta8g88M_LNtE6CzG3vqOVPymnp3ssZ9nqpbjAKQ-zbx1_5kriAYp5QUR6SNnSWqStQlPq_5FIk3gtb6-kiul_8K7Y7KnzcArA09Lq5WLOC-doE_/s1600/P1780674+%25281024x768%2529.jpg" imageanchor="1" style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;">https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEgHMHPkH55HeHuaYaw9dNx4DWbLm3zWUta8g88M_LNtE6CzG3vqOVPymnp3ssZ9nqpbjAKQ-zbx1_5kriAYp5QUR6SNnSWqStQlPq_5FIk3gtb6-kiul_8K7Y7KnzcArA09Lq5WLOC-doE_/s640/P1780674+%25281024x768%2529.jpg
" />
Wafanyakazi wa Halmashauri ya Manispaa ya Moshi wakizoea taka zilizokuwa zimerundikana katika eneo la jirani kabisa na soko la Manyema mjni hapa.
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEgApUtUz04k0Tc5qLG7w8D5dnomRLt3ytjLOn41eHMBPAcivS9KHkwErnSnqMp2i4ZPAWl4Sy2a4luKq2sRn_H6P_urid1PaUejvLuxE2ttGUdOZFyi-CZuhaXq4fW6-DCZv5trX8K0PDor/s1600/P1780675+%25281024x768%2529.jpg" imageanchor="1" style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;">https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEgApUtUz04k0Tc5qLG7w8D5dnomRLt3ytjLOn41eHMBPAcivS9KHkwErnSnqMp2i4ZPAWl4Sy2a4luKq2sRn_H6P_urid1PaUejvLuxE2ttGUdOZFyi-CZuhaXq4fW6-DCZv5trX8K0PDor/s640/P1780675+%25281024x768%2529.jpg
" />
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEisfmt-vvdb9hMoR8zxNWRdm3wxY6_N8Skb_5Vcl-B82l9k6qRbxoxUJMTaxGwUQdlQtp5GSc3h-ByOiuya9o5Y6otGXdXPv7fsMcdXuQNOC7EcVPCUH7sEmGvCOkUixgC0EOkcL4ThRAfD/s1600/P1780683+%25281024x768%2529.jpg" imageanchor="1" style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;">https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEisfmt-vvdb9hMoR8zxNWRdm3wxY6_N8Skb_5Vcl-B82l9k6qRbxoxUJMTaxGwUQdlQtp5GSc3h-ByOiuya9o5Y6otGXdXPv7fsMcdXuQNOC7EcVPCUH7sEmGvCOkUixgC0EOkcL4ThRAfD/s640/P1780683+%25281024x768%2529.jpg
" />
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEhPx7gjWbjme98qu11wJuo05nu9kD58rn61CxfxAhFA0vUEYKQjVW5hn-G7VhgftbXUbLO2f3LTo7QJOHU2yHU1ksRhKFkTh5Qg822QEXXn0bpSCEs3Rls61NpIcocJTr9rkZVMuHGPQTP_/s1600/P1780685+%25281024x768%2529.jpg" imageanchor="1" style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;">https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEhPx7gjWbjme98qu11wJuo05nu9kD58rn61CxfxAhFA0vUEYKQjVW5hn-G7VhgftbXUbLO2f3LTo7QJOHU2yHU1ksRhKFkTh5Qg822QEXXn0bpSCEs3Rls61NpIcocJTr9rkZVMuHGPQTP_/s640/P1780685+%25281024x768%2529.jpg
" />
Shughuli ya uzoaji taka ikiendelea.
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEgF9SM024Bx72wTm6Pg0V-S_AkJ8Q9BSjFu5VjdD6EV_lsgAZiJetx3ghdo9hkYvs9Yiz33LSdodAJOBwz_mxTImwaRPo9cWLfw80Nuw22dmW_UYlvccWmUY6oDxAXLgwI7VJ3X144sASx-/s1600/P1780690+%25281023x768%2529.jpg" imageanchor="1" style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;">https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEgF9SM024Bx72wTm6Pg0V-S_AkJ8Q9BSjFu5VjdD6EV_lsgAZiJetx3ghdo9hkYvs9Yiz33LSdodAJOBwz_mxTImwaRPo9cWLfw80Nuw22dmW_UYlvccWmUY6oDxAXLgwI7VJ3X144sASx-/s640/P1780690+%25281023x768%2529.jpg
" />
Mkuu wa wilaya ya Moshi ,Novatus Makunga akizungumza namna ambavyo utekelezaji wa agizo la mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro lilivyoanza ikiwa ni njia moja wapo ya kukabiliana na Ugonjwa hatari wa Kipindu pindu.
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEjkvW393lE8D8_VUiIQnTtxtAfXMKV26jV1d5BzBcMD9KTPtyb6Jg3yjxWL2MUVlFxihYtGj2v-gBk64gVQIC5tJGsC5l4XMcHYKRJ9NpYbRiN54g1IfAKFwF_6dxldF9d4Mxa665z0MD8u/s1600/P1780698+%25281024x768%2529.jpg" imageanchor="1" style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;">https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEjkvW393lE8D8_VUiIQnTtxtAfXMKV26jV1d5BzBcMD9KTPtyb6Jg3yjxWL2MUVlFxihYtGj2v-gBk64gVQIC5tJGsC5l4XMcHYKRJ9NpYbRiN54g1IfAKFwF_6dxldF9d4Mxa665z0MD8u/s640/P1780698+%25281024x768%2529.jpg
" />
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEgSNiA8l1V5OfOBiuEJgSBKzw8SmkGjl8TwA7C1HE2FhEMzL6XA9_wIRYc0O6UmGf2aQeaqnhQIAGvB47Iiw2EpEgYojRK_WcHz93oDfidOGGIsLL0uvEVMjw_-8Skonm0ZCRoUQ_8hDkLS/s1600/P1780703+%25281024x768%2529.jpg" imageanchor="1" style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;">https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEgSNiA8l1V5OfOBiuEJgSBKzw8SmkGjl8TwA7C1HE2FhEMzL6XA9_wIRYc0O6UmGf2aQeaqnhQIAGvB47Iiw2EpEgYojRK_WcHz93oDfidOGGIsLL0uvEVMjw_-8Skonm0ZCRoUQ_8hDkLS/s640/P1780703+%25281024x768%2529.jpg
" />
Hivi ndiyo hali iliyokuwa katika soko la MANYEMA.
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEhwq55Jx0LpMPDUiIM-s8ECbfomaTdofssjVa-5Wla7NvYgAnh-dN3N9lUNFxK6dLOk9E2pB6VCHuXPSGiaDcMkjGk9PDAFE5igdOa7KYS-6s8G0vJlPrlpu1RL0_5rRDdkyJB7lYPyKl6A/s1600/P1780704+%25281024x768%2529.jpg" imageanchor="1" style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;">https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEhwq55Jx0LpMPDUiIM-s8ECbfomaTdofssjVa-5Wla7NvYgAnh-dN3N9lUNFxK6dLOk9E2pB6VCHuXPSGiaDcMkjGk9PDAFE5igdOa7KYS-6s8G0vJlPrlpu1RL0_5rRDdkyJB7lYPyKl6A/s640/P1780704+%25281024x768%2529.jpg
" />
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEgzErTX3zO6tq8ZRGJkl5Qxrc4yEeClDujsAQbYv3pV7iWbyc8fSlVocuz8MPS7XxfCCQ01_qqj4poOCuT9zkuw2_K4YViFK6OcmyK8V38NEbsVcqtvjGAvWf5AaVBdUSJdE7KgLY8h-KOP/s1600/P1780705+%25281024x768%2529.jpg" imageanchor="1" style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;">https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEgzErTX3zO6tq8ZRGJkl5Qxrc4yEeClDujsAQbYv3pV7iWbyc8fSlVocuz8MPS7XxfCCQ01_qqj4poOCuT9zkuw2_K4YViFK6OcmyK8V38NEbsVcqtvjGAvWf5AaVBdUSJdE7KgLY8h-KOP/s640/P1780705+%25281024x768%2529.jpg
" />
DC Makunga akijionea hali halisi.
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEi3DDO5GqI7BPS4xpWTpya9DfHXUSUvOGChLH5qYHn_O-FwjzVLGUqouc8b0nyC1kSo4_WYFruHlDI6Rg9dhkprhcSjmRTBPeDF9gPwnsT54BcwKZwBuHqArxxuhYxOoiNNNi9VTPRwmHmY/s1600/P1780708+%25281024x768%2529.jpg" imageanchor="1" style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;">https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEi3DDO5GqI7BPS4xpWTpya9DfHXUSUvOGChLH5qYHn_O-FwjzVLGUqouc8b0nyC1kSo4_WYFruHlDI6Rg9dhkprhcSjmRTBPeDF9gPwnsT54BcwKZwBuHqArxxuhYxOoiNNNi9VTPRwmHmY/s640/P1780708+%25281024x768%2529.jpg
" />
Moja ya dampo likiwa limejaa taka.

Na Dixon Busagaga wa Globu ya Jamii Kanda ya Kaskazini.