Wednesday, 3 November 2010

The Launch of the Uganda Diaspora Desk in London by the Ministry of foreign Affairs

The Guest of Honour was the deputy Prime Minister Of Uganda Hon Eriya Kategaya

























































































TANZANIA HIGH COMMISSIONER TO THE UK H.E PETER KALLAGHE PRESENTED HIS CREDITIQLS TO HM THE QUEEN TODAY

A bell rings and the door to the main entrance of the Queen opens, you take two steps forward and bow to the Queen as a sign signaling your presence to her Majesty Palace. You then walk forward towards the Queen, bows again as you stretch your hand to greet the Queen


H.E PETER KALLAGHE -TANZANIA HIGH COMMISSIONER UK


Mrs Kallaghe and the Uganda High commissioner H.E Joan rwabyomere
The South africa and BNamibia high commissioners




The Tanzania High commissioner with Dr william Shija of CPA

tHE hIGH COMMISSIONER WITH THE British Tanzania Association members


Fred Maha with the Rwanda High commissioner



Tuesday, 2 November 2010





Familia ya Marehemu Mchungaji Matiku Thomas Nyitambe iishio Uingereza na Tanzania, kwa moyo mkunjufu, tunapenda kuchukua nafasi hii kuishukuru Ofisi ya Ubalozi wa Tanzania nchini Uingereza, Jumuiya ya watanzania Reading na Slough ,Kanisa La wasabato (Angaza SDA Church -Reading), Madhehebu yote ya kidini hapa UK ,vyama vyote vya kisiasa,Waganga wote kutoka Mkoa wa Mara ,Ofisi ya Mkuu wa Mkoa na pia bila kusahau blog zote zilizo shiriki kutoa taarifa(Hakingowi,Issa Michuzi,Majid Mjengwa ,TZUK,Watanzaniaoslo,Musoma -tanzania ,wavuti n.k) , kwa kufanikisha shughuli zote za msiba wa Marehemu baba yetu Mchungaji Matiku Thomas Nyitambe ambaye alifariki Kutokana na ajali ya gari tarehe 3/October /2010 na hatimaye kuzikwa tarehe 9 /October/2010 kijijini kwake Kirongwe Tarime MkoaniMara.
Tunapenda pia kutoa shukrani nyingi kwa majirani,ndugu,jamaa na marafiki kwa misaada yenu ya hali na mali ambayo imewezesha familia ya marehemu walioko Uingereza kuweza kuwahi mazishi.Kwa kuwa ni vigumu kumshukuru kila mtu kipekee, tunasema tu kwamba Asanteni sana kwa michango yenu ya hali na mali ambayo ilisaidia katika mipango na mikakati yote ya kuuhifadhi mwili wa Marehemu hadi kuzika.Hatuna cha kuwalipa bali tunamwomba Mwenyezi Mungu awajalie na kuwazidishia mibaraka katika shughuli zenu za kila siku.Tumeambatanisha picha za ajali .Sisi tulimpenda sana Marehemu Nyitambe lakiniMwenyezi Mungu amempenda zaidi,Jina la Bwana lihimidiwe.Asanteni sanaAmen
-- Jumuiya Ya Watanzania Reading-UKBlog :http://www.tanzaniaassociation-reading.blogspot.com/http://uk.mc274.mail.yahoo.com/mc/compose?to=Email%3Atzra2009@gmail.comTel No: +447865673756



Monday, 1 November 2010

The Launch of Swahili society at SOAS university -Ruell Square Campus - London