Ubuntu-it's a word describing an African worldview, which translates as "I am because you are," and which means that individuals need other people to be fulfilled. And that is what this blog is all about.My contact details are: Ayoub Mzee- Tel +447960811614, email: swahilidiaries@yahoo.co.uk. Alternatively you can watch my program- swahili diaries on BEN TV SKY 184 or www.bentelevision.com every week Tuesdays at 10pm and Sundays at 10AM. Enjoy News stories in Photographs


Wednesday, 9 December 2015
Tuesday, 8 December 2015
![]() |
Baadhi ya washiriki wa zoezi la kupanda Mlima Kilimanjaro. |
![]() |
Mkuu wa majeshi Mstaafu,Jenerali George Waitara akizungumza katika hafla hiyo. |
![]() |
Baadhi ya wapandaji. |
![]() |
Mhifadhi Mkuu ,Hifadhi ya Taifa ya Mlima Kilimanjaro,( KINAPA) akizungumza wakati wa hafla hiyo. |
![]() |
Washiriki. |
![]() |
Afisa Masoko wa KINAPA,Antypas Mgungusi akieleza jambo wakati wa hafala hiyo. |
![]() |
Mwenyekiti Mstaafu wa Bodi ya Utalii,Balozi Charles Sanga ni mingoni mwa washiriki wa zoezi hilo la kupanda mlima Kilimanjaro. |
![]() |
Mhifadhi mkuu KINAPA,Erastus Lufunguro akiongozana na mgeni rasmi kwa ajili ya kukabidhi bendera kwa wapandaji mlima hao. |
![]() |
Mgeni rasmi katika hafla hiyo ,Mkurugenzi wa Halmashauri ya Moshi,Fulgence Mponji akikabidhi bendera kwa Mkuu wa majeshi mstaafu ,Jenerali George Waitara ambaye ndiye kiongozi wa msafara huo. |
![]() |
Washiriki wakijiandaa kuanza safari. |
![]() |
Safari ya kuelekea kilele cha Mlima Kilimanjaro ikaanza kwa maafisa 24 wa JWTZ . Na Dixon Busagaga wa Globu ya Jamii kada ya Kaskazini (0755659929). |
Monday, 7 December 2015
CEO, Bernard Matthewman |
The entry into East Africa follows the completion of the merger with leading East African e-payments provider Paynet Group. Effectively, Paynet Tanzanianowbecomes Interswitch.
Paynetbegun operations in 2003 and isbest known for a number of innovations includinglinking ATMs with M-PESA in Tanzania (Vodacom M-Pesa) and Kenya (Safaricom- M-Pesa), and driving the adoption of EMV Chip cards across Tanzania, Uganda and Kenya.
Following these announcements, Tanzania becomes the sixth country where Interswitch has rebranded its operations in Africa with its new corporate identity seeking to establish uniform brand values and identity across Africa.
Speaking during the launch held at the Hyatt Regency- the Kilimanjaro in Tanzania, Interswitch East Africa CEO Bernard Matthewman said the launch of the new brand in Tanzania was a statement of Interswitch’s leading position in the market and reflects its ambition to continue to grow its world class service across the African continent.
“Interswitch’s new logo and brand is a confident statement of our leading position in the market and sets us apart from the competition. The bold design clearly reflects the best-in-class service we provide our customers, our ambitious pan-African expansion plans and our relentless pursuit of new and innovative e-payment solutions for the African market. At Interswitch we continue to push the frontiers of not just digital payments but commerce as a whole.
He added:
“We now have an unrivalled, truly borderless pan-African payment infrastructure under Interswitch which we will leverage to enable faster transactions, innovation and even greater value for our partners and the community.”
Cynthia Kantai |
Regional Head of Marketing & Corporate Communications Cynthia Kantai said the new identity celebratesInterswitch’s continuous drive to innovate e-payment solutions tailored to the African market with the aim of delivering ‘intuitive exchange’, where transactions happen at the speed of thought.
She said the new bold yet simple design encapsulates the personality, drive and values of integrity and trust that are central to the Interswitch brand.
Since launching in 2002, Interswitch has grown rapidly and consistently, resulting in a current transaction volume of over 350 million transactions per month and more than US$32 billion a year across its platforms. Interswitch, according to Deloitte, is the fastest growing tech company in Africa with revenue growth of 1226% in the last five years.
During the event,Interswitch also announced the launch of Verve, an exciting new card and payment scheme offered by Verve International, an Interswitch Group company.
Verve is the biggest payment card brand in Nigeria with more than 30 million payment tokens, and is rapidly expanding issuance and acceptance across the African continent and is now issued by over 40 banks in Africa. The launch of the card now expands Verve card operations into Tanzania, Kenya, Burundi, South Sudan and Rwanda with integration into existing operations in Uganda.
Verve already hasa strategic partnership with UBABankand KCB for both ATMs and merchant POS. . . . This announcement now expands Verve card acceptance and payment services into five key East African markets.
Verve International is pursuing acceptance of the Verve card around the world. In 2013 the company signed a partnership agreement with Discover Financial Services (DFS), the owners of Diner’s Club, which will give Verve cardholders access to the Discover global network of over 185 countries and territories across the world.
Richard Coate, Verve International Regional head in East Africa said:
“We are seeing rapidly expanding trade flows between East and West Africa and with that increased travel. Expansion of Verve acceptance across Africa and around the world is part of the long-term strategic vision for our business. It will also foster closer business partnerships between East and West Africa and improve the ease of doing business on the continent, thereby encouraging even stronger growth. We have created Africa’s first truly global payment card brand and an important symbol of Africa’s economic power.”
Note That
Interswitch is an Africa-focused integrated digital payments and commerce company that facilitates the electronic circulation of money as well as the exchange of value between individuals and organizations on a timely and consistent basis.
The company started operations in 2002 as a transaction switching and electronic payments processing company that builds and manages payment infrastructure as well as deliver innovative payment products and transactional services throughout the African continent.
Interswitch provides technology integration, advisory services, and payment infrastructure to government, banks and corporate organizations. We process transactions from various channels namely: ATMs, mobile, PoS, online (web) and IVR;
For more about Interswitch, log on to: www.interswitchgroup.com
About Verve International
Na Mwandishi wetu
KESI ya rufaa ya madai ya talaka dhidi ya mfanyabiashara na Mkurugenzi wa shule ya sekondari ya St Mathew, Thadei Mtembei imeahirishwa baada ya wakili wa Mtembei, Mussa Kyoboya kudai mrufaniwa yuko India kwa matibabu.
Kesi hiyo inasikilizwa na Hakimu Mfawidhi wa Mahakama ya Wilaya ya Temeke, Tarimo.
Katika kesi hiyo, mpeleka rufaa, Magreth Mwangu anawakilishwa na wakili Chacha Mrungu. Kesi hiyo ilikuja mahakamani juzi ambapo mrufaniwa alitakiwa kupeleka majibu ya rufaa.
Hata hivyo, wakili wake alisema majibu hayako tayari kwani kuna vipengele ambavyo alitakiwa kusaini, lakini ilishindikana kutokana na kuwa nchini India kwa matibabu. Kesi hiyo imepangwa kuendelea Desemba 16 mwaka huu.
Awali, kesi hiyo ilisikilizwa katika Mahakama ya Mwanzo Kizuiani mbele ya hakimu Rajab Tamaambele, ambapo Mwangu na watoto wake walionekana hawana haki, kwa madai sio mke halali na watoto hao ni wa zinaa kutokana na kuzaliwa nje ya ndoa.
Katika madai ya msingi, Mwangu anataka talaka, mgawanyo wa mali na matunzo ya watoto.
Katika sababu za rufaa, mrufani alieleza kusikitishwa na maamuzi yaliyotolewa na Mahakama ya Mwanzo Kizuiani Septemba Mosi mwaka huu, kwa hakimu kukosea kisheria kwa kutosaini nakala ya hukumu ikiwa ni pamoja na kukosekana kwa saini za wazee wa baraza.
Sababu nyingine ni Mahakama kukosea kisheria kwa kunyang’anya haki ya watoto kwa kutotoa matunzo ya watoto kwa mama, ambaye anaishi na mrufaniwa kwa miaka 20 na kuvunja Sheria ya Mtoto Namba 21 ya mwaka 2009. Maamuzi ya Mahakama ya Kizuiani yalishindwa kufuata sheria kwa wazee wa baraza kushindwa kutoa maoni yao.
![]() |
Mkuu wa Chuo Kikuu cha Ushirika Moshi (MoCU) Pius Msekwa akitunuku Shahada ,Stashahada na Astashahada kwa wahitimu wa Chuo hicho wakati wa mahafali ya kwanza ya chuo hicho. |
![]() |
Wahitimu wa kozi mbalimbali waliohitimu katika Chuo Kikuu cha Ushirika mjini Moshi,(MoCU) |
![]() |
Miongoni mwa wageni waalikwa alikuwepo pia Mbunge wa jimbo la Moshi mjini ,Jafary Michael. |
![]() |
Makamu mkuu wa Chuo Kikuu cha Ushirika (MoCU) Profesa Faustine Bee akizungumza wakati wa sherehe za mahafali ya kwanza ya Chuo hicho yaliyofanyika katika uwanja wa michezo wa Chuo hicho. |
![]() |
Miongoni mwa wahitimu walikuwepo pia Mbunge wa viti maalum,Sharry Raymond pamoja na Mkuu wa wilaya ya Mwanga ,Shaibu Ndemanga. |
![]() |
Baadhi ya wakufunzi katika chuo hicho. |
![]() |
Muongozaji wa sherehe ya mahafali hayo Cyril Komba akitoa muongozo wa shughuli hiyo iliyofanyika viwanja ya Chuo kikuu cha Ushirika Moshi. |
![]() |
Mkuu wa Chuo Kikuu cha Ushirika ,Pius Msekwa akitoka katika viwanja vya Ushirika mara baada ya kumalizika kwa sherehe ya mahafali ya kwanza ya chuo hicho. |
![]() |
Baadhi ya wakufunzi wa Chuo hicho,Profesa Wakuru Magigi (kulia ) wakiwa na Mkuu wa Shule ya Polisi zamani Chuo cha Polisi Moshi,Matanga Mbushi . |