Friday, 22 February 2013

1944 - 1971

Yoweri Kaguta Museveni was born in 1944 to Mzee Amos Kaguta and Maama Esteri Kokundeka in the Ntungamo district of southwestern Uganda. At the time Uganda was still a part of the British Empire, and Museveni's father Amos had recently returned as a veteran of World War II, fighting under the British flag. Museveni’s name was, in fact, derived from Abaseveni, a regiment of Ugandan soldiers who had been drafted into the Seventh Regiment of the Kings African Rifles, in which his father served. Although most of the children in the rural area didn’t have any formal schooling, Amos, a cattle rancher by trade, insisted on all of his children receiving a thorough education. Museveni attended Kyamate Primary School, Mbarara High School and the college-prep Ntare School. In 1962 Uganda gained its independence from Britain, and even though the 18-year-old Museveni now had his first taste of being a free citizen of the kingdom of Uganda, it would be many years before he would see his country enjoy any lasting stretch of peace and prosperity.
It was during Museveni’s time at Ntare School that he began to take an interest in the politics of his country, and he didn’t wait very long before engaging in the political struggle. In 1966 he fought to convince the Ankole peasants in his home region to fence off their lands and to defend their right to not be evicted by colonial adventurers.
Museveni later enrolled at the Dar es Salaam University College of Education in Tanzania and obtained his Bachelor of Arts degree in Economics and Political Science in 1970. His political interest also extended beyond the classroom: as an active Marxist and pan-Africanist, he formed the University Students' African Revolutionary Front (USARF) activist group with an international mix of students, many of which would later become influential politicians in various countries. Museveni also led a student delegation to Mozambique, which was still under Portuguese rule at the time, to work with the Liberation Front of Mozambique (FRELIMO) and to receive training in guerrilla warfare.
In 1970, the 26-year-old Museveni returned to Uganda, which had since become a republic headed by President Apollo Milton Obote, and joined the national intelligence service. Museveni only held this position for a year before a military coup led by Idi Amin saw Obote toppled and Amin taking control of the country. Along with thousands of other Ugandans, Museveni was forced to seek refuge in neighbouring Tanzania.

Thursday, 21 February 2013

If you can't see this email correctly, please click here
Labour.org.uk

Press release
Saturday 16th February 2013
For immediate use

Labour to force mansion tax vote in Commons

Campaigning in Eastleigh today for Labour’s John O’Farrell, Ed Miliband is expected to say:

"People here in Eastleigh know. Families across Britain know. If you have a job, you’re putting in the hours as never before.

"But you’re working longer and harder for less. You see the prices going up and up and up. Your weekly shop. What it costs to heat your home. Filling up your car.

"The squeezed middle has never been so squeezed. And if we carry on as we are it will be like that for years and years.

"No wonder the economy has flatlined for over two years, when no-one can afford to buy the things that British businesses try to sell. All this Government has to offer is tax cuts for the richest at the top, an unrelenting squeeze on the middle, and a race to the bottom.

"That is not how we will build a successful economy again. It’s time for a new approach. And that’s what the One Nation Labour Party under my leadership will offer. The by-election here in Eastleigh, like the General Election that will follow, will be a living standards election.

"Because the big questions being asked by families today is who is on their side? It isn’t the Tories and Liberal Democrats.

"Who cut taxes for millionaires while everyone else pays more.

"Who do nothing to stand up to the banks, the energy firms, the train operators and the payday lenders who rip people off.

"Who promised us high growth and a lower deficit but gave us only a high deficit and no growth.

"That’s why I said this week it’s time for a One Nation approach.

"A Labour budget next month wouldn’t be cutting taxes for millionaires. We would tackle the vested interests that hold you and business back.

"And this week I said we would restore the 10p tax rate, putting Labour where it should always have been: on the side of working people.

"I have said that should be funded by a tax on houses worth over £2 million. It’s about having fairer taxes. And laying the foundations for a successful economy - a recovery built by the many, not just a few at the top.

"The people of Eastleigh deserve an MP who understands that. Who is on their side. His name is John O’Farrell.

"Today I am announcing that we will force a vote in the House of Commons on the mansion tax in the coming weeks. We know the Conservatives oppose this measure, even though it would only affect a small number of houses worth over £2m. They wrote to their multi-millionaire donors solemnly promising they would not let anyone tax their mansions.

"And what about the Lib Dems? There could be a majority in the House of Commons when it votes on our proposal. But only if the Liberal Democrats vote with Labour. Now the Lib Dems say they are in favour of a mansion tax. Well, they once said they were in favour of abolishing tuition fees too.

"Here is a chance for Nick Clegg to prove he can keep at least one of his promises. Nick Clegg has already shown he doesn't stand up to the Tories by voting for the millionaires’ tax cut. Behind closed door negotiations between the Liberal Democrats and the Tories didn’t change that.

"A tax cut that in just six weeks’ time will give 13,000 people earning over £1million an average tax cut of £100,000.

"It’s time for Nick Clegg and the Liberal Democrats to be honest with the people of Eastleigh and show whose side are they on.

"They must answer this question: will they vote with Labour in advance of the Budget to force David Cameron and George Osborne to act?

"Or will the Liberal Democrats do what they’ve done for two-and-a-half years: prop up a Tory Government that is squeezing the living standards of the middle harder and harder?

"The people of Eastleigh know that John O’Farrell, if elected on 28th February, will be part of the One Nation Labour team.

"They know he'll represent change. They know he'll fight the Government.

"They know he'll support a mansion tax and the return of the 10p tax rate.

"They know that the choice they face on 28th February is between two candidates from the Government and a One Nation Labour candidate in John O' Farrell who, if elected, will support real change."

Ends


Wednesday, 20 February 2013




For immediate release: 18 February 2013

Global Witness welcomes EU decision to maintain sanctions against Zimbabwean diamond sector

Global Witness today welcomed news that EU foreign ministers have agreed to maintain restrictive measures against state-owned Zimbabwean diamond mining company, ZMDC, but warned that gaps in the sanctions list could mean Mugabe’s forces still receive off-budget revenues from diamond sales.

The London-based campaigning group last year published detailed evidence indicating that revenues from joint-venture diamond mining companies, of which ZMDC is the Zimbabwean partner, are providing off-budget financing to ZANU-PF controlled security forces with a history of committing electoral violence.

“It’s good news that sanctions against ZMDC will be maintained,” said Global Witness diamonds campaigner, Emily Armistead. “Global Witness’ investigations point to a serious risk that diamond revenues could be used to fund violence in this year’s election. Maintaining sanctions against ZMDC will limit that flow of cash. However, the EU could have gone further to prevent diamond revenues funding ZANU-PF security forces. In particular, we are concerned that Zimbabwe’s largest diamond company, Anjin, is part-owned by the military but is not covered by restrictive measures.”

Negotiations over the sanctions were rumoured to have been especially heated with Belgium leading the call for measures against the ZMDC to be dropped. Last week Global Witness accused Belgium of favouring the interests of its diamond traders over Zimbabwean democracy.

Global Witness’ research has revealed links between joint-venture diamond mining companies in the Marange region of Zimbabwe and military, police and intelligence organisations loyal to Mugabe. When elections last took place in 2008, these same groups were involved in attacks against the opposition, reportedly killing over 200 people and torturing thousands.

The decision by ministers to maintain sanctions against Zimbabwe’s diamond mining sector sends a clear signal to European diamond trading companies that they must source diamonds responsibly. However, weak industry self-regulation all along the diamond pipeline means that Marange diamonds may still find their way onto European markets.

“European diamond companies must carry out checks on their supply chains to make sure their purchases are not fuelling risks of human rights violations in Zimbabwe. Member states should enforce the restrictive measures and ensure they are applied to polished diamonds entering the EU,” continued Armistead.

ENDS/

Tuesday, 19 February 2013



TANZANIA HIGH COMMISSION



 
 
Telephone: 020 7569 1470                                                                                                               3 Stratford Place    
Facsimile:  020 7495 8817                                                                                      London W1C 1AS              





WAZIRI WA NISHATI NA MADINI, MHE. PROF. DK SOSPETER MUHONGO (MB), KUKUTANA NA WATANZANIA WAISHIO NCHINI UINGEREZA TAREHE 26/02/2013

Waziri wa Nishati na Madini wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Prof. Dk Sospeter Muhongo, anatarajia kufanya ziara ya kikazi nchini Uingereza kuanzia tarehe 25 hadi 28 Februari 2013.
Akiwa London Mhe. Waziri angependa kukutana na Watanzania waishio Uingereza kuzungumzia maendeleo ya sekta ya nishati na madini Tanzania na pia kubadilishana nao mawazo kuhusu maendeleo ya sekta hiyo.
Ubalozi wa Tanzania, London unapenda kuwakaribisha watanzania siku ya Jumanne tarehe 26, Februari 2013, Ubalozini saa 11 Jioni. Anuani ya Ubalozi ni 3 Stratford Place, W1C 1AS, London

Wote mnakaribishwa.

 


Sunday, 17 February 2013

 Waziri wa Mambo ya Ndani, Emmanuel Nchimbi (wa pili kushoto) akiwa na Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Pili wa Rais Zanzibar Mohamed Aboud walipotembelea eneo la tukio leo.Picha na Adrew Chale, Zanzibar
 Picha juu ni gari alilokua akitumia Paroko wa Kanisa la Katoliki Minara Miwili Zanzibar, Evarist Mushi leo asubuhi likiwa limegonga ukuta muda mfupi baada ya watu wasiojuliakana kumshambulia Paroko Evarist Mushi kwa risasi na kufariki
  Gari alilokuwa amepanda Padri Evarist Mushi likiwa limetapakaa damu baada ya kupigwa risasi
 Wananchi mmbalimbali zanzibar waki eneo la tukio muda mfupi baada ya gari la  Paroko wa Kanisa la Katoliki Minara Miwili Zanzibar, Evarist Mush kugonga ukuta baada ya kushambuliwa kwa risasi na watu wasiojuliaka leo asubuhi zanzibar na kufariki
 Sehemu ya Waumini wakiwa wenye majozi muda mfupi baada ya kupata habari za kifo cha Paroko wao wa  Kanisa la Katoliki Minara Miwili Zanzibar, Evarist Mush kushambuliwa na risasi na watu wasiojulikana leo asubuhi  katika gari lake wakati akienda kuendesha ibada ya saa 3.00
 Padri Cosmo Shayo(Kulia)akizungumza na viomgozi wa kanisa kuhusiana na tukio la Paroko wa Kanisa la Katoliki Minara Miwili Zanzibar, Evarist Mush kushambuliwa na risasi na watu wasiojulikana leo asubuhi  katika gari lake wakati akienda kuendesha ibada ya saa 3.00
Picha juu na chini Sehemu ya waumini mbalimbali wakiwa nje ya viwanja vya hospitali ya mnazi mmoja leo asubuhi baada ya Paroko wa Kanisa la Katoliki Minara Miwili Zanzibar, Evarist Mush kushambuliwa na risasi na watu wasiojulikana leo asubuhi  katika gari lake wakati akienda kuendesha ibada ya saa 3.00.Picha  Adrew Chale na Othman Maulid Othman-Shirika la Magazeti ya Serikali Zanzibar
 Katibu wa itikadi na uenezi wa ccm Nape Nnauye akizindua moja kati ya a mashina matatu aliyoyazindua leo
 MWENYEKITI wa Chama Cha Mapinduzi (CCM)Mkoa wa Dar es Salaam, Ramadhan Madabida akizungumza
 Waziri wa Maji Prof Jummane Maghembe akiongea
 Aliyekua makamu mwenyekiti wa Bavicha Juliana Shonza akiongea
Sehemu ya umati wa wa CCM
Mfuasi mmoja wa chadema akirudisha kadi na kujiunga tena na CCM.Picha na Adamu Mzee-Idara ya itikadi na Uenezi- CCM
---
Chama Cha Mapinduzi mkoa wa Dar es salaam leo kimefanya mkutano mkubwa wa hadhara katika eneo la Goba, ambapo wananchama 162 wamejiunga leo, ambapo wapo wanachama wanne kutoka Chadema walijiunga hapo hapo.

Mgeni mualikwa katika shughuli hiyo alikuwa Katibu wa NEC ,Itikadi na Uenezi, ambaye licha ya kufungua mashina matatu ya chama, pia  aliwasaidia wakinana mama wa vikoba,shilingi milioni moja na pia kukabidhi pikipiki kwa vijana wa goba na kuahidi zingine kuwapatia karibuni.

Katika mkutano huo, Mtela Mwampamba na Juliana Shonza walipata nafasi ya kuzungumza na wananchi wa Goba na kuwaambia sababu zilizofanya kukihama Chadema,moja ni kutotenda haki na kuwa na siasa ya kibaguzi na chuki,vurugu na uchochezi na sio kutetea watu na maendeleo.

Saumu Kisena licha ya kufanya kazi na Chadema kwa miaka 9 lakini hajalipwa haki zake hivyo ameshangazwa kuona haki inahubiriwa nje wakati ndani hakuna chembe ya usawa.
Mbunge wa jimbo la Ubungo-Chadema na Mkurugenzi wa idara ya Habari na Uenezi -Chadema, John Mnyika
----
Kwa nyakati mbalimbali kuanzia mwezi Januari mpaka Februari 2013 pametokea matatizo ya kuharibika kwa baadhi ya mitambo na kupungua kwa uzalishaji wa maji katika vyanzo vya mto Ruvu na hivyo kusababisha matatizo ya maji kwa wananchi wa Jiji la Dar es Salaam na maeneo yanayohudumiwa na Mamlaka ya Maji Safi na Maji Taka (DAWASA) katika Mkoa wa Pwani. 

DAWASA imeingia mkataba wa uendeshaji na Kampuni ya Maji Safi na Maji Taka Dar es Salaam (DAWASCO) wa kutekeleza majukumu mbalimbali ikiwemo kuendesha mitambo, kusimamia usambazaji wa maji na kufanya matengenezo na kutoa taarifa kwa wananchi kuhusu huduma zinazotolewa. Aidha, DAWASCO wanapaswa kuzingatia mikataba ya huduma kwa wateja ambayo inaitaka kutoa taarifa kwa umma pale kunapotokea matatizo ya maji. 

Kwa kuzingatia mikataba hiyo, DAWASA na DAWASCO wanapaswa kutoa matangazo kwa umma kuhusu matatizo mapya yaliyojitokeza mwezi Januari na Februari 2013 ili kuepusha matatizo hayo kuhusishwa na hatua ya kuwasilishwa na kuondolewa bungeni kwa hoja binafsi niliyoiwasilisha tarehe 4 Februari 2013 juu ya hatua za haraka za kuboresha upatikanaji wa maji safi na ushughulikiaji wa maji taka katika Jiji la Dar es salaam. 

Kwa wakazi wa Kibamba, Kwembe, Msigani, Mbezi, Saranga na Kimara ni muhimu wakatambua kwamba nimefuatilia na kujulishwa kwamba palikuwa na tatizo la kupungua kwa uzalishaji wa maji katika chanzo cha Ruvu Juu ambalo limerekebishwa tarehe 12 Februari 2013 hivyo maji yataendelea kupatikana kwa mujibu wa ratiba ya mgawo kama ilivyokuwa awali katika maeneo ambayo yalikuwa yakipata maji tangu mwaka 2012. 

Kwa wateja ambao bado watakuwa na matatizo katika maeneo yao wawasiliane na DAWASCO kupitia namba ya huduma kwa wateja 022 55 00 240 au 0779090904 au info@dawasco.com ili hatua za haraka ziweze kuchukuliwa. 

Kwa wananchi wa Jiji zima la Dar es Salaam ambao maeneo yao yana mabomba yanayojulikana zaidi kama mabomba ya wachina ambayo hayatoi kabisa maji kwa miaka mingi na wale ambao maeneo yao hayana kabisa miundombinu ya mabomba ya maji; hatua za haraka kwa upande wao zinapaswa kutokana na utekelezaji wa hoja binafsi niliyowasilisha bungeni. 

Hali hii inayoendelea hivi sasa ya DAWASA na DAWASCO kushindwa kufanya matengenezo ya mitambo kwa wakati na kushindwa kukabiliana na upungufu wa uzalishaji wa maji kwa ajili ya Jiji la Dar es Salaam kunathibitisha kwamba bunge lilipaswa kujadili hoja binafsi niliyoiwasilisha bungeni. 

Katika maelezo ya hoja pamoja na mambo mengine nilitaka Bunge ambacho ni chombo chenye wajibu wa kuisimamia serikali kwa niaba ya wananchi kurekebisha kasoro zilizopo katika utendaji na uwajibikaji wa Wizara ya Maji na vyombo vinavyohusika na utoaji na udhibiti wa huduma ya maji. 

Ifahamike kuwa majukumu ya utoaji wa huduma ya maji jijini Dar es salaam na baadhi ya maeneo ya Kibaha na Bagamoyo yanafanywa na Mamlaka ya Majisafi na Majitaka (DAWASA) ambayo ni mmiliki, mkodishaji na msimamizi wa utoaji wa huduma ya majisafi na maji taka na ina wajibu wa kupanga na kugharamia utekelezaji wa miradi ya miundombinu, kuiendeleza na kugharamia matengenezo ya dharura na makubwa. 

Mwaka 2005 DAWASA iliingia mkataba wa miaka kumi (10) wa uendeshaji na Shirika la Maji Safi na Maji Taka Dar es Salaam (DAWASCO). Chini ya mkataba huo majumu ya DAWASCO ni kuendesha mitambo, kusimamia usambazaji wa maji na uondoshaji wa maji taka, kuuza maji kwa wateja , kutoa ankara kwa wateja, kukusanya maduhuli, kulipia gharama za uendeshaji, kutekeleza matengenezo makubwa yanayogharamiwa na DAWASA na kutekeleza uunganishaji wa maji kwa wateja wapya kwa kutumia mfuko wa maji. 

Kisheria na kimkataba DAWASA ina wajibu wa kuisimamia DAWASCO iliyoingia nayo mkataba; hata hivyo kwa kuwa yote ni taasisi na mashirika ya umma ambayo bodi zake na watendaji wake wakuu huteuliwa na mamlaka zile zile na kuripoti kwa watu wale wale, hali ambayo ina athari kwenye utendaji na uwajibikaji. 

Wakati umefika sasa wa mkataba huo kati ya DAWASA na DAWASCO kuwekwa wazi kwa umma; kufanyiwa tathmini ya miaka zaidi ya mitano iliyopita ya utekelezaji; kufanyiwa marekebisho kwa ajili ya kipindi kilichobaki na maandalizi kuanza ya mfumo bora unaopaswa kuanza kuandaliwa baada ya kuisha kwa mkataba huo mwaka 2015. 

Izingatiwe kuwa tarehe 10 Februari 2013 niliiwasilisha kwa wananchi na kutoa wiki mbili kwa Waziri wa Maji kujitokeza kwa umma na kutoa majibu aliyokwepa kuyatoa bungeni na iwapo Waziri Prof. Jumanne Maghembe hatatoa maelezo nitaongoza maandamano ya wananchi kwenda Wizarani kuwezesha hatua kuchukuliwa. 

Imetolewa tarehe 15 Februari 2013 na: 

John Mnyika (Mb)
 Waziri wa Mambo ya Ndani ya  Nchini Dr Emmanuel Nchimbi akitoka chumba cha habari cha  makao makuu ya jeshi la polisi kilimani zanzibar baada ya kuongea na Waandishi wa vyombo mbalimbali vya Habari leo asubuhi kufwatia tukio la kupigwa risasi leo asubuhi Paroko wa Kanisa la Katoliki Minara Miwili Zanzibar, Evarist Mushi na kufariki dunia,Padri Evarist Mushi alivamiwa na watu wasiojulikana akiwa njiani anaenda kuendesha misa katika Kanisa la Mt.Theresia eneo la Mtoni Zanzibar
 Waziri wa Mambo ya Ndani ya  Nchini Dr Emmanuel Nchimbi akizungumza na Waandishi wa vyombo mbalimbali vya Habari leo asubuhi katika ukumbi wa makao makuu ya jeshi la polisi kilimani zanzibar kutoka na tukio la kupigwa risasi leo asubuhi kwa Paroko wa Kanisa la Katoliki Minara Miwili Zanzibar, Evarist Mushi na kufariki dunia,Padri Evarist Mushi alivamiwa na watu wasiojulikana akiwa njiani anaenda kuendesha misa katika Kanisa la Mt.Theresia eneo la Mtoni Zanzibar
Sehemu ya Waandihi wa Habari wa vyombo mbalimbali Zanzibar wakimsikiliza kwa Makini Waziri wa mambo ya ndani ya nchini Dr Emmanuel nchimbo(hayupo picha)alipokua akitoa taarifa ya serikali kufwatia kupigwa risasi leo asubuhi kwa Paroko wa Kanisa la Katoliki Minara Miwili Zanzibar, Evarist Mushi na kufariki dunia,Padri Evarist Mushi alivamiwa na watu wasiojulikana akiwa njiani anaenda kuendesha misa katika Kanisa la Mt.Theresia eneo la Mtoni Zanzibar
 Paroko wa Kanisa la Katoliki Minara Miwili Zanzibar, Evarist Mushi 
---
Paroko wa Kanisa la Katoliki Minara Miwili Zanzibar, Evarist Mushi amefariki dunia baada ya kupigwa risasi saa 1.00 asubuhi na kufariki kabla hajafika hospitali ya Mnazi Mmoja.

Paroko huyu amepigwa risasi akishuka katika gari lake wakati akienda kuendesha ibada ya saa 3.00 leo.
Padri Evarist Mushi amepigwa risasi kichwani na kufa papohapo na watu wasiojulikana akiwa njiani anaenda kuendesha misa katika Kanisa la Mt.Theresia eneo la Mtoni Zanzibar.

Msemaji wa Jeshi Polisi Zanzibar Inspekta Mohamed Mhina amethibitisha kutokea kwa tukio hilo na amesema kuwa padre huyo ameuawa wakati akijiandaa kuingia kanisani akitokea kwenye gari yake ambapo ndipo alipofikwa na umauti huo.

Jeshi la Polisi visiwani humo kupitia kwa Msemaji wake Mkaguzi wa Polisi, Mohamed Mhina limelaani mauaji hayo na na kusisitiza kuwa Jeshi limeanza msako mkali wa kuwabaini wauaji hao.

Hili ni tukio la pili kutokea Zanzibar ambapo tukio la kwanza lilitokea kwa Padre Ambrose Mkenda kupigwa risasi na kujeruhiwa na watu wasiojulikana.
Mhe. Membe akipitia Itifaki hiyo kabla ya kusainiwa huku Bw. John M. Haule, Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa akishuhudia.
 Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Mhe. Bernard K. Membe (Mb.), akiweka saini Itifaki ya Amani na Usalama ya Nchi za Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC). Uwekaji saini huo ulifanyika katika Hoteli ya New Africa, jijini Dar es Salaam.
 Mhe. Membe akifafanua jambo baada ya shughuli ya utiaji saini kukamilika.
 Mhe. Membe akijadiliana jambo na Katibu Mkuu wake Bw. Haule. Mwingine katika picha ni Mhe. Pereira Ame Silima (Mb.), Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi.
 Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Afrika Mashariki, Dkt. Richard Sezibera (kulia) akijadiliana jambo na Waziri wa Ulinzi wa Uganda.
 Mhe. Membe (wa pili kushoto) akiwa na viongozi wenzake wa nchi za EAC wakiwa wameshikilia Itifaki hiyo mara baada ya kusainiwa
Mhe. Membe akifanya mahojiano na Waandishi wa Habari baada ya shughuli ya utiaji saini kukamilika.Picha zote na Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa